9 Yehova atakuweka kuwa kikundi chake kitakatifu cha watu,+ kama vile alivyokuapia,+ kwa sababu uliendelea kushika amri+ za Yehova Mungu wako, nawe umetembea katika njia zake.
12 Na hakika watu watawaita wao kuwa watu watakatifu,+ wale waliokombolewa na Yehova;+ na wewe mwenyewe utaitwa Aliyetafutwa, Jiji Ambalo Halikuachwa Kabisa.+
12Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+