Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova atakuweka kuwa kikundi chake kitakatifu cha watu,+ kama vile alivyokuapia,+ kwa sababu uliendelea kushika amri+ za Yehova Mungu wako, nawe umetembea katika njia zake.

  • Isaya 62:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na hakika watu watawaita wao kuwa watu watakatifu,+ wale waliokombolewa na Yehova;+ na wewe mwenyewe utaitwa Aliyetafutwa, Jiji Ambalo Halikuachwa Kabisa.+

  • Waroma 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+

  • Waebrania 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki