Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ninasema kwa maneno ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wa mwili+ wenu: kwa maana kama mlivyovitoa viungo+ vyenu kuwa watumwa wa ukosefu wa usafi+ na uasi-sheria kwa kutazamia uasi-sheria, basi sasa vitoeni viungo vyenu viwe watumwa wa uadilifu kwa kutazamia utakatifu.+

  • 1 Wathesalonike 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwamba kila mmoja wenu ajue jinsi ya kukiweza chombo chake+ mwenyewe katika utakaso+ na heshima,

  • Waebrania 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hayo “mapenzi”+ yaliyosemwa sisi tumetakaswa+ kupitia toleo+ la mwili wa Yesu Kristo+ mara moja kwa wakati wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki