19 Ninasema kwa maneno ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wa mwili+ wenu: kwa maana kama mlivyovitoa viungo+ vyenu kuwa watumwa wa ukosefu wa usafi+ na uasi-sheria kwa kutazamia uasi-sheria, basi sasa vitoeni viungo vyenu viwe watumwa wa uadilifu kwa kutazamia utakatifu.+