Waroma 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kifo alichokufa, alikufa kuhusiana na dhambi mara moja kwa wakati wote;+ lakini uzima anaoishi, anaishi kwa kuhusiana na Mungu.+ Waebrania 9:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa+ mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili+ atakapotokea+ itakuwa ni bila dhambi+ na kwa wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+
10 Kwa maana kifo alichokufa, alikufa kuhusiana na dhambi mara moja kwa wakati wote;+ lakini uzima anaoishi, anaishi kwa kuhusiana na Mungu.+
28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa+ mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili+ atakapotokea+ itakuwa ni bila dhambi+ na kwa wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+