- 
	                        
            
            Waroma 6:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        19 Ninasema kwa maneno ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wa mwili wenu: kwa maana kama vile mlivyotoa viungo vyenu kuwa watumwa wa ukosefu wa usafi na uasi-sheria kwa tazamio la uasi-sheria, basi sasa toeni viungo vyenu viwe watumwa kwa uadilifu kwa tazamio la utakatifu. 
 
-