19 Ninasema kwa maneno ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wa mwili+ wenu: kwa maana kama mlivyovitoa viungo+ vyenu kuwa watumwa wa ukosefu wa usafi+ na uasi-sheria kwa kutazamia uasi-sheria, basi sasa vitoeni viungo vyenu viwe watumwa wa uadilifu kwa kutazamia utakatifu.+
21 Kwa hiyo, kama yeyote akijiepusha kabisa na hawa wa mwisho, atakuwa chombo kwa ajili ya kusudi lenye kuheshimika, kilichotakaswa, chenye faida kwa bwana wake, kilichotayarishwa kwa ajili ya kila kazi njema.+