Zaburi 107:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wote waliookolewa wa Yehova na waseme hivyo,+Ambao amewaokoa kutoka katika mkono wa adui,+ Isaya 35:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hakuna simba atakayekuwa hapo, na wanyama-mwitu wenye kunyafua hawatakuja juu yake.+ Hakuna yeyote atakayepatikana hapo;+ na waliokombolewa watatembea hapo.+
9 Hakuna simba atakayekuwa hapo, na wanyama-mwitu wenye kunyafua hawatakuja juu yake.+ Hakuna yeyote atakayepatikana hapo;+ na waliokombolewa watatembea hapo.+