Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ilikuwa kwa sababu Yehova aliwapenda ninyi,+ na kwa sababu ya kushika ile ahadi yenye kiapo aliyowaapia mababu zenu,+ ndiyo sababu Yehova aliwatoa nje kwa mkono wenye nguvu,+ apate kuwakomboa ninyi kutoka katika nyumba ya watumwa,+ kutoka katika mkono wa Farao mfalme wa Misri.

  • Zaburi 106:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kwa hiyo akawaokoa kutoka katika mkono wa mchukiaji+

      Na kuwakomboa kutoka katika mkono wa adui.+

  • Isaya 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+

  • Yeremia 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa watu wabaya,+ nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa wenye kuonea.”

  • Mika 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ee binti Sayuni, uwe na maumivu makali na utaabike, kama mwanamke anayezaa,+ maana sasa utaenda kutoka katika mji, nawe utakaa katika shamba.+ Nawe utaenda mpaka Babiloni.+ Huko utakombolewa.+ Huko Yehova atakununua kutoka mkononi mwa adui zako.+

  • Luka 1:74
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 74 kutupa sisi, baada ya kuokolewa kutoka katika mikono ya adui,+ pendeleo la kumtolea utumishi mtakatifu bila woga+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki