Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 akamwambia: “‘Naapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’ asema Yehova,+ ‘kwamba kwa sababu ya uhakika wa kwamba wewe umefanya jambo hili nawe hukuzuia mwana wako, mwana wako wa pekee,+

  • Kutoka 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakumbuke Abrahamu, Isaka na Israeli watumishi wako, uliowaapia kwa jina lako mwenyewe,+ kwa kuwa uliwaambia, ‘nitauzidisha uzao wenu kama nyota za mbinguni,+ nayo nchi hii yote ambayo nimeichagua, nitaupa uzao+ wenu, ili kwa kweli wapate kuimiliki mpaka wakati usio na kipimo.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ila Yehova alishikamana na mababu zako na kuwapenda, hivi kwamba akachagua uzao wao baada yao,+ naam, ninyi, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu, kama ilivyo leo hii.

  • Zaburi 105:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Agano ambalo alifanya na Abrahamu,+

      Na ahadi yake yenye kiapo aliyomwapia Isaka,+

  • Luka 1:73
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 73 kiapo ambacho alimwapia Abrahamu babu yetu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki