16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+
32 Yeye ambaye hakujizuia hata Mwana+ wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote,+ kwa nini yeye pia pamoja naye hatatupa sisi kwa fadhili vitu vingine vyote?+
17 Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa,+ ni kana kwamba alimtoa Isaka, na huyo mtu aliyekuwa amezipokea ahadi kwa furaha alijaribu kumtoa mwana wake mzaliwa-pekee,+