2 Naye akaendelea kusema: “Tafadhali, mchukue mwana wako, mwana wako wa pekee unayempenda sana,+ Isaka,+ ufunge safari kwenda nchi ya Moria+ na huko umtoe kama toleo la kuteketezwa juu ya mmoja kati ya milima ambao nitakuonyesha.”+
16 akamwambia: “‘Naapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’ asema Yehova,+ ‘kwamba kwa sababu ya uhakika wa kwamba wewe umefanya jambo hili nawe hukuzuia mwana wako, mwana wako wa pekee,+
32 Yeye ambaye hakujizuia hata Mwana+ wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote,+ kwa nini yeye pia pamoja naye hatatupa sisi kwa fadhili vitu vingine vyote?+
9 Kwa hili upendo wa Mungu ulifunuliwa kwa habari yetu,+ kwa sababu Mungu alimtuma Mwana+ wake mzaliwa-pekee kuja ulimwenguni ili tupate uzima kupitia yeye.+