Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+

  • Waroma 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa kusudi gani? Kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala kama mfalme pamoja na kifo,+ vivyo hivyo pia fadhili zisizostahiliwa+ zitawale kama mfalme kupitia uadilifu kwa tazamio la uzima wa milele+ kupitia Yesu Kristo Bwana wetu.

  • Waroma 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yeye ambaye hakujizuia hata Mwana+ wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote,+ kwa nini yeye pia pamoja naye hatatupa sisi kwa fadhili vitu vingine vyote?+

  • 1 Yohana 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na huu ndio ushahidi ambao umetolewa, kwamba Mungu alitupa sisi uzima wa milele,+ na uzima huu umo ndani ya Mwana+ wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki