Yohana 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+ Yohana 12:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, Yesu akapaaza sauti na kusema: “Yule ambaye huniamini huamini, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma;+ Waefeso 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bwana mmoja,+ imani moja,+ ubatizo mmoja;+ Wafilipi 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa sababu ninyi mlipewa pendeleo kwa ajili ya Kristo, si muwe tu na imani+ katika yeye, bali pia mteseke+ kwa ajili yake. 2 Timotheo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+
12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+
44 Hata hivyo, Yesu akapaaza sauti na kusema: “Yule ambaye huniamini huamini, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma;+
29 kwa sababu ninyi mlipewa pendeleo kwa ajili ya Kristo, si muwe tu na imani+ katika yeye, bali pia mteseke+ kwa ajili yake.
15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+