Methali 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwanangu, ikiwa utapokea maneno yangu+ na kujiwekea amri zangu kama hazina,+ Yohana 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Ninyi mnayachunguza Maandiko,+ kwa sababu mnafikiri kwamba kwa njia yake mtakuwa na uzima wa milele; na hayo yenyewe ndiyo yanayotoa ushahidi juu yangu.+
39 “Ninyi mnayachunguza Maandiko,+ kwa sababu mnafikiri kwamba kwa njia yake mtakuwa na uzima wa milele; na hayo yenyewe ndiyo yanayotoa ushahidi juu yangu.+