Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa sheria na kwa ushuhuda!+

      Hakika wataendelea kusema yanayolingana na neno hili+ ambalo halitaona nuru ya mapambazuko.+

  • Luka 11:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi mwingi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi;+ ninyi wenyewe hamkuingia, na wale wanaoingia mliwazuia!”+

  • Matendo 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa watu hawa walikuwa wasikivu kuliko wale wa Thesalonike, kwa maana walilipokea neno kwa hamu kubwa zaidi ya akili, wakiyachunguza+ Maandiko+ kwa uangalifu kila siku ili kuona kama mambo hayo ndivyo yalivyo.+

  • 2 Timotheo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+

  • 1 Petro 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Manabii, waliotoa unabii+ juu ya fadhili zisizostahiliwa zilizokusudiwa ninyi,+ walifanya uchunguzi kwa bidii na kutafuta kwa uangalifu habari kuhusu wokovu huu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki