19 Nao wakiwaambia ninyi: “Toeni maombi kwa wenye kuwasiliana na pepo+ au kwa wale wenye roho ya kubashiri wanaonong’oneza+ na kusema maneno kwa sauti za chini,” je, kundi lolote la watu halipaswi kutoa maombi kwa Mungu wake?+ Je, maombi yatolewe kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?+