6 “‘Nayo nafsi inayowaendea wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio ili kufanya uasherati nao, nitauweka uso wangu juu ya nafsi hiyo na kumkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.+
11 au anayefunga wengine kwa kuwatakia maovu+ au yeyote anayetafuta shauri kwa mwenye kuwasiliana na pepo+ au mjuzi wa kubashiri matukio+ au yeyote anayeuliza habari kutoka kwa wafu.+