Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 20:2

Marejeo

  • +Law 18:21; Kum 18:10

Mambo ya Walawi 20:3

Marejeo

  • +1Pe 3:12
  • +Kut 15:17; Hes 19:20; Kum 23:14; Eze 5:11
  • +Law 18:21

Mambo ya Walawi 20:4

Marejeo

  • +Kum 13:8

Mambo ya Walawi 20:5

Marejeo

  • +Kut 20:5; 1Fa 20:42
  • +Zb 106:39; Ho. 2:13

Mambo ya Walawi 20:6

Marejeo

  • +Law 19:31; Kum 18:11; Gal 5:20; Ufu 21:8
  • +Law 20:27; Mdo 16:16
  • +1Nya 10:13; Eze 6:9

Mambo ya Walawi 20:7

Marejeo

  • +Law 11:44; Efe 1:4; 1Pe 1:16

Mambo ya Walawi 20:8

Marejeo

  • +Law 18:4; Mhu 12:13; Lu 1:6
  • +Kut 31:13; Law 21:8; Eze 37:28; 1Th 5:23; 2Th 2:13

Mambo ya Walawi 20:9

Marejeo

  • +Kum 27:16; Met 20:20; Mt 15:4
  • +Kut 21:17
  • +2Sa 1:16; 1Fa 2:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 24

Mambo ya Walawi 20:10

Marejeo

  • +Law 18:20; Kum 5:18; Yer 29:23; Ro 7:3
  • +Kum 22:22; 1Ko 6:9

Mambo ya Walawi 20:11

Marejeo

  • +Law 18:8; Kum 27:20

Mambo ya Walawi 20:12

Marejeo

  • +Law 18:15
  • +Law 18:29

Mambo ya Walawi 20:13

Marejeo

  • +Mwa 19:5; Law 18:22; Amu 19:22; Ro 1:27; 1Ko 6:9; Yud 7

Mambo ya Walawi 20:14

Marejeo

  • +Law 18:17; Kum 27:23
  • +Law 21:9
  • +Gal 5:19

Mambo ya Walawi 20:15

Marejeo

  • +Kut 22:19; Kum 27:21

Mambo ya Walawi 20:16

Marejeo

  • +Law 18:23

Mambo ya Walawi 20:17

Marejeo

  • +Law 18:9; Kum 27:22; 2Sa 13:12; Eze 22:11

Mambo ya Walawi 20:18

Marejeo

  • +Law 15:24; 18:19; Eze 22:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 372

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1989, uku. 14

Mambo ya Walawi 20:19

Marejeo

  • +Law 18:13
  • +Law 18:12
  • +Law 18:6

Mambo ya Walawi 20:20

Marejeo

  • +Law 18:14
  • +Zb 109:13

Mambo ya Walawi 20:21

Marejeo

  • +Law 18:16; Kum 25:5; Mk 6:18; 12:19

Mambo ya Walawi 20:22

Marejeo

  • +Law 18:26; Zb 105:45; 119:80; Mhu 12:13
  • +Kut 21:1; Kum 5:1; Zb 119:20; Isa 26:9
  • +Law 18:28

Mambo ya Walawi 20:23

Marejeo

  • +Law 18:3, 24; Kum 12:30; Yer 10:2
  • +Law 18:27; Kum 9:5

Mambo ya Walawi 20:24

Marejeo

  • +Kut 3:17; 6:8
  • +Kum 8:8; Eze 20:6
  • +Kut 19:5; 33:16; 1Fa 8:53; 2Ko 6:16; 1Pe 2:9

Mambo ya Walawi 20:25

Marejeo

  • +Law 11:47; Kum 14:4; Mdo 10:14
  • +Law 11:43

Mambo ya Walawi 20:26

Marejeo

  • +Law 19:2
  • +Zb 99:5; 1Pe 1:16; Ufu 4:8
  • +Kum 7:6; 14:2; Tit 2:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1987, uku. 10

Mambo ya Walawi 20:27

Marejeo

  • +Kut 22:18; Law 19:31; Kum 18:10; 1Sa 28:7; Ufu 21:8
  • +Kut 22:18; Law 20:6; Mik 5:12
  • +2Sa 1:16

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 20:2Law 18:21; Kum 18:10
Law. 20:31Pe 3:12
Law. 20:3Kut 15:17; Hes 19:20; Kum 23:14; Eze 5:11
Law. 20:3Law 18:21
Law. 20:4Kum 13:8
Law. 20:5Kut 20:5; 1Fa 20:42
Law. 20:5Zb 106:39; Ho. 2:13
Law. 20:6Law 19:31; Kum 18:11; Gal 5:20; Ufu 21:8
Law. 20:6Law 20:27; Mdo 16:16
Law. 20:61Nya 10:13; Eze 6:9
Law. 20:7Law 11:44; Efe 1:4; 1Pe 1:16
Law. 20:8Law 18:4; Mhu 12:13; Lu 1:6
Law. 20:8Kut 31:13; Law 21:8; Eze 37:28; 1Th 5:23; 2Th 2:13
Law. 20:9Kum 27:16; Met 20:20; Mt 15:4
Law. 20:9Kut 21:17
Law. 20:92Sa 1:16; 1Fa 2:32
Law. 20:10Law 18:20; Kum 5:18; Yer 29:23; Ro 7:3
Law. 20:10Kum 22:22; 1Ko 6:9
Law. 20:11Law 18:8; Kum 27:20
Law. 20:12Law 18:15
Law. 20:12Law 18:29
Law. 20:13Mwa 19:5; Law 18:22; Amu 19:22; Ro 1:27; 1Ko 6:9; Yud 7
Law. 20:14Law 18:17; Kum 27:23
Law. 20:14Law 21:9
Law. 20:14Gal 5:19
Law. 20:15Kut 22:19; Kum 27:21
Law. 20:16Law 18:23
Law. 20:17Law 18:9; Kum 27:22; 2Sa 13:12; Eze 22:11
Law. 20:18Law 15:24; 18:19; Eze 22:10
Law. 20:19Law 18:13
Law. 20:19Law 18:12
Law. 20:19Law 18:6
Law. 20:20Law 18:14
Law. 20:20Zb 109:13
Law. 20:21Law 18:16; Kum 25:5; Mk 6:18; 12:19
Law. 20:22Law 18:26; Zb 105:45; 119:80; Mhu 12:13
Law. 20:22Kut 21:1; Kum 5:1; Zb 119:20; Isa 26:9
Law. 20:22Law 18:28
Law. 20:23Law 18:3, 24; Kum 12:30; Yer 10:2
Law. 20:23Law 18:27; Kum 9:5
Law. 20:24Kut 3:17; 6:8
Law. 20:24Kum 8:8; Eze 20:6
Law. 20:24Kut 19:5; 33:16; 1Fa 8:53; 2Ko 6:16; 1Pe 2:9
Law. 20:25Law 11:47; Kum 14:4; Mdo 10:14
Law. 20:25Law 11:43
Law. 20:26Law 19:2
Law. 20:26Zb 99:5; 1Pe 1:16; Ufu 4:8
Law. 20:26Kum 7:6; 14:2; Tit 2:14
Law. 20:27Kut 22:18; Law 19:31; Kum 18:10; 1Sa 28:7; Ufu 21:8
Law. 20:27Kut 22:18; Law 20:6; Mik 5:12
Law. 20:272Sa 1:16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 20:1-27

Mambo ya Walawi

20 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe. 3 Mimi nami, nitauweka uso wangu juu ya mtu huyo, nami nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake,+ kwa sababu amempa Moleki baadhi ya uzao wake kwa kusudi la kupatia unajisi mahali pangu patakatifu+ na kulitia unajisi jina langu takatifu.+ 4 Na ikiwa watu wa nchi hiyo hawatamuua kwa kuyaficha macho yao kimakusudi yasimwone mtu huyo anapompa Moleki yeyote kati ya uzao wake,+ 5 basi mimi nami nitaukaza uso wangu juu ya mtu huyo na familia yake,+ nami nitamkatilia mbali yeye na wote wanaofanya uasherati pamoja naye katika kufanya uasherati+ na Moleki watoke katikati ya watu wao.

6 “‘Nayo nafsi inayowaendea wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio ili kufanya uasherati nao, nitauweka uso wangu juu ya nafsi hiyo na kumkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.+

7 “‘Nanyi mtajitakasa na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu. 8 Nanyi mtazishika sheria zangu na kuzitenda.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa ninyi.+

9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+

10 “‘Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake.+ Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi.+ 11 Na mwanamume anayelala na mke wa baba yake ameufunua uchi wa baba yake.+ Lazima wote wawili wauawe. Damu yao wenyewe iko juu yao. 12 Na mwanamume akilala na binti-mkwe wake, lazima wote wawili wauawe.+ Wamevunja jambo la asili. Damu yao wenyewe iko juu yao.+

13 “‘Na mwanamume akilala na mwanamume sawa na vile mtu anavyolala na mwanamke, wote wawili wamefanya jambo lenye kuchukiza.+ Lazima wauawe. Damu yao wenyewe iko juu yao.

14 “‘Na mwanamume akimchukua mwanamke pamoja na mama yake, ni mwenendo mpotovu.+ Watamteketeza yeye na wao katika moto,+ ili mwenendo mpotovu+ usiendelee katikati yenu.

15 “‘Na mwanamume akimpa mnyama shahawa yake imtokayo,+ lazima auawe, nanyi mtamuua mnyama huyo. 16 Na mwanamke akimkaribia mnyama yeyote ili kuungana+ naye, mtamuua mwanamke huyo na mnyama huyo. Lazima wauawe. Damu yao wenyewe iko juu yao.

17 “‘Na mwanamume akimchukua dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake, naye auone uchi wake, naye dada yake auone uchi wake, ni aibu.+ Kwa hiyo watakatiliwa mbali kutoka machoni pa wana wa watu wao. Ni uchi wa dada yake ambao ameufunua. Atajibu kwa kosa lake.

18 “‘Na mwanamume akilala na mwanamke mwenye hedhi na kuufunua uchi wake, ameifunua chemchemi yake, naye mwanamke huyo ameifichua chemchemi ya damu yake.+ Kwa hiyo wote wawili watakatiliwa mbali kutoka katikati ya watu wao.

19 “‘Nao uchi wa dada ya mama yako+ na dada ya baba yako+ usiufunue, kwa sababu mtu atakuwa ameufunua uhusiano wake wa damu.+ Watajibu kwa kosa lao. 20 Na mwanamume anayelala na mke wa ndugu ya baba yake ameufunua uchi wa ndugu ya baba yake.+ Watajibu kwa dhambi yao. Watakufa bila kupata mtoto.+ 21 Na mtu akimchukua mke wa ndugu yake, ni chukizo.+ Ni uchi wa ndugu yake ambao ameufunua. Watakuwa bila mtoto.

22 “‘Nanyi mtazishika sheria+ zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu+ na kuzifanya, ili nchi nitakayowaingiza mkae ndani yake isije ikawatapika ninyi.+ 23 Nanyi msitembee katika sheria za mataifa ambayo nitayafukuza kutoka mbele yenu,+ kwa sababu wamefanya mambo hayo yote nami nayachukia.+ 24 Ndipo nikawaambia ninyi:+ “Ninyi mtaimiliki nchi yao, nami nitawapa ninyi ili mwimiliki, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatenga kutoka kwa vikundi vya watu.”+ 25 Nanyi mtatofautisha mnyama aliye safi na asiye safi na kutofautisha ndege aliye safi na asiye safi;+ nanyi msizifanye nafsi zenu kuwa zenye kuchukiza+ kupitia mnyama na ndege na kitu chochote ambacho hutembea juu ya nchi ambacho nimekitenga kwa ajili yenu kwa kuvitangaza kuwa si safi. 26 Nanyi mtakuwa watakatifu kwangu,+ kwa sababu mimi Yehova ni mtakatifu;+ nami ninawatenga kutoka kwa vikundi vya watu ili muwe wangu.+

27 “‘Naye mwanamume au mwanamke atakayekuwa na roho ya kuwasiliana na pepo au roho ya kubashiri,+ lazima wauawe.+ Watawapiga hao kwa mawe na kuwaua. Damu yao wenyewe iko juu yao.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki