Kutoka 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Mtu yeyote anayelala na mnyama lazima atauawa.+ Kumbukumbu la Torati 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mnyama yeyote.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)