Mambo ya Walawi 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Nawe usimpe mnyama yeyote shahawa+ yako awe asiye safi kutokana nayo, na mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kuungana naye.+ Ni kuvunja jambo lililo la asili. Mambo ya Walawi 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Na mwanamume akimpa mnyama shahawa yake imtokayo,+ lazima auawe, nanyi mtamuua mnyama huyo. Kumbukumbu la Torati 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mnyama yeyote.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
23 “‘Nawe usimpe mnyama yeyote shahawa+ yako awe asiye safi kutokana nayo, na mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kuungana naye.+ Ni kuvunja jambo lililo la asili.