Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 18:2

Marejeo

  • +Mwa 17:7; Kut 6:7; Law 11:44; Mk 12:29

Mambo ya Walawi 18:3

Marejeo

  • +Zb 106:35; Eze 20:7; Yak 4:4
  • +Kut 23:24; Law 20:23; Kum 12:30; Yer 10:2

Mambo ya Walawi 18:4

Marejeo

  • +Law 19:37; 20:22; Kum 4:1
  • +Kum 6:2; Zb 119:16; Eze 20:19; 1Yo 5:3
  • +Lu 1:6

Mambo ya Walawi 18:5

Marejeo

  • +Eze 20:11; Lu 10:28; Ro 10:5; Gal 3:12
  • +Kut 6:2; Mal 3:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2009, uku. 6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 8/15 6

Mambo ya Walawi 18:6

Marejeo

  • +Law 20:17; Gal 5:19

Mambo ya Walawi 18:7

Marejeo

  • +Mwa 9:22; Eze 22:10

Mambo ya Walawi 18:8

Marejeo

  • +Mwa 35:22; Law 20:11; Kum 22:30; 27:20; 2Sa 16:21; 1Ko 5:1

Mambo ya Walawi 18:9

Marejeo

  • +Law 20:17; Kum 27:22; 2Sa 13:12; Eze 22:11

Mambo ya Walawi 18:12

Marejeo

  • +Law 20:19

Mambo ya Walawi 18:14

Marejeo

  • +Law 20:20

Mambo ya Walawi 18:15

Marejeo

  • +Mwa 38:26; Law 20:12; Eze 22:11

Mambo ya Walawi 18:16

Marejeo

  • +Law 20:21; Kum 25:5; Mk 6:17; 12:19

Mambo ya Walawi 18:17

Marejeo

  • +Law 20:14; Kum 27:23
  • +Gal 5:19

Mambo ya Walawi 18:18

Marejeo

  • +Mwa 30:15; 1Sa 1:6

Mambo ya Walawi 18:19

Marejeo

  • +Law 20:18
  • +Law 15:19, 24; 20:18; Eze 22:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 372

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1989, uku. 14

Mambo ya Walawi 18:20

Marejeo

  • +Kut 20:14; Law 20:10; Kum 22:22; 2Sa 11:4; Met 6:29; Mt 5:27; 1Ko 6:9; Ebr 13:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    10/22/1993, uku. 30

Mambo ya Walawi 18:21

Marejeo

  • +Kum 18:10
  • +Law 20:2; 1Fa 11:7; 2Fa 23:10; Mdo 7:43
  • +Kut 20:7; Law 19:12; 20:3; Eze 36:20
  • +Isa 42:8

Mambo ya Walawi 18:22

Marejeo

  • +1Ko 6:9; 1Ti 1:10; Yud 7
  • +Mwa 19:5; Law 20:13; Amu 19:22; Ro 1:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni,

    1/2012, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 1/12 28

Mambo ya Walawi 18:23

Marejeo

  • +Kut 22:19; Law 20:15
  • +Law 20:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2003, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 7/15 27

Mambo ya Walawi 18:24

Marejeo

  • +Law 20:23; Kum 18:12

Mambo ya Walawi 18:25

Marejeo

  • +Mwa 15:16

Mambo ya Walawi 18:26

Marejeo

  • +Law 20:22; Kum 4:1, 40; Ro 2:12
  • +Kut 12:49

Mambo ya Walawi 18:27

Marejeo

  • +Kum 20:18; 2Fa 16:3; 21:2

Mambo ya Walawi 18:28

Marejeo

  • +Law 20:22

Mambo ya Walawi 18:29

Marejeo

  • +Law 20:15

Mambo ya Walawi 18:30

Marejeo

  • +Law 18:3; 20:23; Kum 18:9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 18:2Mwa 17:7; Kut 6:7; Law 11:44; Mk 12:29
Law. 18:3Zb 106:35; Eze 20:7; Yak 4:4
Law. 18:3Kut 23:24; Law 20:23; Kum 12:30; Yer 10:2
Law. 18:4Law 19:37; 20:22; Kum 4:1
Law. 18:4Kum 6:2; Zb 119:16; Eze 20:19; 1Yo 5:3
Law. 18:4Lu 1:6
Law. 18:5Eze 20:11; Lu 10:28; Ro 10:5; Gal 3:12
Law. 18:5Kut 6:2; Mal 3:6
Law. 18:6Law 20:17; Gal 5:19
Law. 18:7Mwa 9:22; Eze 22:10
Law. 18:8Mwa 35:22; Law 20:11; Kum 22:30; 27:20; 2Sa 16:21; 1Ko 5:1
Law. 18:9Law 20:17; Kum 27:22; 2Sa 13:12; Eze 22:11
Law. 18:12Law 20:19
Law. 18:14Law 20:20
Law. 18:15Mwa 38:26; Law 20:12; Eze 22:11
Law. 18:16Law 20:21; Kum 25:5; Mk 6:17; 12:19
Law. 18:17Law 20:14; Kum 27:23
Law. 18:17Gal 5:19
Law. 18:18Mwa 30:15; 1Sa 1:6
Law. 18:19Law 20:18
Law. 18:19Law 15:19, 24; 20:18; Eze 22:10
Law. 18:20Kut 20:14; Law 20:10; Kum 22:22; 2Sa 11:4; Met 6:29; Mt 5:27; 1Ko 6:9; Ebr 13:4
Law. 18:21Kum 18:10
Law. 18:21Law 20:2; 1Fa 11:7; 2Fa 23:10; Mdo 7:43
Law. 18:21Kut 20:7; Law 19:12; 20:3; Eze 36:20
Law. 18:21Isa 42:8
Law. 18:221Ko 6:9; 1Ti 1:10; Yud 7
Law. 18:22Mwa 19:5; Law 20:13; Amu 19:22; Ro 1:27
Law. 18:23Kut 22:19; Law 20:15
Law. 18:23Law 20:16
Law. 18:24Law 20:23; Kum 18:12
Law. 18:25Mwa 15:16
Law. 18:26Law 20:22; Kum 4:1, 40; Ro 2:12
Law. 18:26Kut 12:49
Law. 18:27Kum 20:18; 2Fa 16:3; 21:2
Law. 18:28Law 20:22
Law. 18:29Law 20:15
Law. 18:30Law 18:3; 20:23; Kum 18:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 18:1-30

Mambo ya Walawi

18 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 2 “Sema na wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Mimi ni Yehova Mungu wenu.+ 3 Jinsi inavyofanya nchi ya Misri ambamo mlikaa, msifanye;+ na jinsi inavyofanya nchi ya Kanaani, ambamo nitawaleta, msifanye;+ na katika sheria zao msitembee. 4 Maamuzi yangu ya hukumu+ mtayatenda, na sheria+ zangu mtazishika ili kutembea katika hizo.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+

6 “‘Yeyote kati yenu asimkaribie mtu yeyote wa jamaa yake, wa kimwili, wa karibu ili kufunua uchi.+ Mimi ni Yehova. 7 Uchi wa baba yako+ na uchi wa mama yako usiufunue. Yeye ni mama yako. Usiufunue uchi wake.

8 “‘Uchi wa mke wa baba yako usiufunue.+ Ni uchi wa baba yako.

9 “‘Nao uchi wa dada yako, binti ya baba yako au binti ya mama yako, awe amezaliwa katika nyumba hiyo hiyo au amezaliwa nje, usiufunue uchi wao.+

10 “‘Nao uchi wa binti ya mwana wako au binti ya binti yako, usiufunue uchi wao, kwa sababu wao ni uchi wako.

11 “‘Nao uchi wa binti ya mke wa baba yako, uzao wa baba yako, kwa kuwa yeye ni dada yako, usiufunue uchi wake.

12 “‘Uchi wa dada ya baba yako usiufunue. Yeye ana uhusiano wa damu na baba yako.+

13 “‘Uchi wa dada ya mama yako usiufunue, kwa sababu yeye ana uhusiano wa damu na mama yako.

14 “‘Uchi wa ndugu ya baba yako usiufunue. Usimkaribie mke wake. Yeye ni shangazi yako.+

15 “‘Uchi wa binti-mkwe+ wako usiufunue. Yeye ni mke wa mwana wako. Usiufunue uchi wake.

16 “‘Uchi wa mke wa ndugu yako+ usiufunue. Ni uchi wa ndugu yako.

17 “‘Uchi wa mwanamke na binti yake usiufunue.+ Binti ya mwana wake na binti ya binti yake usimchukue ili kuufunua uchi wake. Wao wana uhusiano wa damu. Ni mwenendo mpotovu.+

18 “‘Nawe usimchukue mwanamke pamoja na dada yake awe mshindani+ ili kuufunua uchi wake, yaani, pamoja naye akiwa angali hai.

19 “‘Nawe usimkaribie mwanamke wakati wa hedhi+ ya uchafu wake ili kuufunua uchi wake.+

20 “‘Nawe usimpe mke wa mwenzako shahawa inayokutoka awe asiye safi kutokana nayo.+

21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+

22 “‘Nawe usilale na mwanamume+ kama vile unavyolala na mwanamke.+ Ni jambo lenye kuchukiza.

23 “‘Nawe usimpe mnyama yeyote shahawa+ yako awe asiye safi kutokana nayo, na mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kuungana naye.+ Ni kuvunja jambo lililo la asili.

24 “‘Msijifanye wenyewe kuwa wasio safi kwa lolote la mambo hayo, kwa sababu kwa mambo yote hayo mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu yamejifanya yenyewe kuwa si safi.+ 25 Kwa hiyo nchi si safi, nami nitaleta adhabu kwa ajili ya kosa lake juu yake, nayo nchi itawatapika wakaaji wake.+ 26 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ nanyi msifanye lolote la mambo hayo yenye kuchukiza, iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.+ 27 Kwa maana mambo yote hayo yenye kuchukiza, watu wa nchi waliokuwa mbele yenu wameyafanya,+ hivi kwamba nchi si safi. 28 Ndipo nchi haitawatapika ninyi kwa sababu ya kuitia kwenu unajisi kama vile itakavyoyatapika mataifa yaliyokuwa mbele yenu.+ 29 Ikiwa mtu yeyote atafanya lolote la mambo yote hayo yenye kuchukiza, basi nafsi zinazoyafanya zitakatiliwa mbali kutoka katikati ya watu wao.+ 30 Nanyi mtatimiza wajibu wenu kwangu ili kutoendeleza yoyote kati ya desturi hizo zenye kuchukiza ambazo zimeendelezwa mbele yenu,+ ili msijifanye kuwa wasio safi kutokana nazo. Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki