Mambo ya Walawi 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini ni lazima ninyi mzishike amri zangu na sheria zangu,*+ msifanye jambo lolote kati ya mambo hayo yenye kuchukiza, awe ni mwenyeji au mgeni anayeishi miongoni mwenu.+
26 Lakini ni lazima ninyi mzishike amri zangu na sheria zangu,*+ msifanye jambo lolote kati ya mambo hayo yenye kuchukiza, awe ni mwenyeji au mgeni anayeishi miongoni mwenu.+