Mambo ya Walawi 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ nanyi msifanye lolote la mambo hayo yenye kuchukiza, iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.+
26 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ nanyi msifanye lolote la mambo hayo yenye kuchukiza, iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.+