Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 17:4

Marejeo

  • +Law 1:3; Kum 6:1; 12:21
  • +Law 18:29; 20:2

Mambo ya Walawi 17:5

Marejeo

  • +2Fa 16:4; Eze 20:28
  • +Kum 12:5, 18
  • +Law 3:2; 7:11

Mambo ya Walawi 17:6

Marejeo

  • +Law 3:8
  • +Law 3:16; 7:31
  • +Law 3:5; 4:31

Mambo ya Walawi 17:7

Marejeo

  • +Kum 32:17; Yos 24:14; 2Nya 11:15; 1Ko 10:20
  • +Kut 34:15; Law 20:5; Kum 31:16; Yer 3:1; Eze 23:8; Yak 4:4

Mambo ya Walawi 17:8

Marejeo

  • +Law 1:3

Mambo ya Walawi 17:9

Marejeo

  • +Kum 12:6, 14
  • +Law 17:4

Mambo ya Walawi 17:10

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 3:17; 7:26; 19:26; Kum 12:16; 1Sa 14:33; Mdo 15:29
  • +Law 20:3; Zb 34:16; Yer 44:11; 1Pe 3:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 39

    Ufahamu, uku. 344

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2014, kur. 10-11

    6/15/1991, uku. 9

    “Kila Andiko,” uku. 29

Mambo ya Walawi 17:11

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 17:14; Kum 12:23; 1Nya 11:19
  • +Law 8:15; 16:18
  • +Mt 26:28; Mk 14:24; Ro 3:25; 5:9; Efe 1:7; Kol 1:20
  • +Ebr 9:22; 13:12; 1Pe 1:2; 1Yo 1:7; Ufu 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 344

    “Upendo wa Mungu,” uku. 75

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2004, uku. 15

    6/15/1991, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 75; w04 6/15 15

Mambo ya Walawi 17:12

Marejeo

  • +Kut 12:49
  • +Mwa 9:4; Kum 12:23; 1Nya 11:19; Mdo 15:20, 29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 344

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2004, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 6/15 15

Mambo ya Walawi 17:13

Marejeo

  • +Kum 12:16; 15:23
  • +Eze 24:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Biblia Inatufundisha, uku. 139

    Biblia Inafundisha, uku. 129

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2004, uku. 15

    10/15/2000, kur. 30-31

    3/1/1989, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    bh 129; w04 6/15 15; w00 10/15 30-31

Mambo ya Walawi 17:14

Marejeo

  • +Law 17:11; Kum 12:23
  • +Law 17:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 41

    Furahia Maisha Milele!, somo la 39

    Ufahamu, uku. 344

    Amkeni!,

    7/8/1991, uku. 15

Mambo ya Walawi 17:15

Marejeo

  • +Kut 22:31; Kum 14:21
  • +Law 11:40

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 344

Mambo ya Walawi 17:16

Marejeo

  • +Law 7:18; Hes 19:20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 17:4Law 1:3; Kum 6:1; 12:21
Law. 17:4Law 18:29; 20:2
Law. 17:52Fa 16:4; Eze 20:28
Law. 17:5Kum 12:5, 18
Law. 17:5Law 3:2; 7:11
Law. 17:6Law 3:8
Law. 17:6Law 3:16; 7:31
Law. 17:6Law 3:5; 4:31
Law. 17:7Kum 32:17; Yos 24:14; 2Nya 11:15; 1Ko 10:20
Law. 17:7Kut 34:15; Law 20:5; Kum 31:16; Yer 3:1; Eze 23:8; Yak 4:4
Law. 17:8Law 1:3
Law. 17:9Kum 12:6, 14
Law. 17:9Law 17:4
Law. 17:10Mwa 9:4; Law 3:17; 7:26; 19:26; Kum 12:16; 1Sa 14:33; Mdo 15:29
Law. 17:10Law 20:3; Zb 34:16; Yer 44:11; 1Pe 3:12
Law. 17:11Mwa 9:4; Law 17:14; Kum 12:23; 1Nya 11:19
Law. 17:11Law 8:15; 16:18
Law. 17:11Mt 26:28; Mk 14:24; Ro 3:25; 5:9; Efe 1:7; Kol 1:20
Law. 17:11Ebr 9:22; 13:12; 1Pe 1:2; 1Yo 1:7; Ufu 1:5
Law. 17:12Kut 12:49
Law. 17:12Mwa 9:4; Kum 12:23; 1Nya 11:19; Mdo 15:20, 29
Law. 17:13Kum 12:16; 15:23
Law. 17:13Eze 24:7
Law. 17:14Law 17:11; Kum 12:23
Law. 17:14Law 17:10
Law. 17:15Kut 22:31; Kum 14:21
Law. 17:15Law 11:40
Law. 17:16Law 7:18; Hes 19:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 17:1-16

Mambo ya Walawi

17 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 2 “Sema na Haruni na wanawe na wana wote wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Hili ndilo jambo ambalo Yehova ameamuru, na kusema:

3 “‘“Mtu yeyote wa nyumba ya Israeli atakayemchinja ng’ombe-dume au mwana-kondoo dume au mbuzi katika kambi au atakayemchinja nje ya kambi 4 naye asimlete kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ ili kumtoa awe toleo kwa Yehova mbele ya maskani ya Yehova, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia ya damu. Amemwaga damu, naye mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake,+ 5 ili kwamba wana wa Israeli walete dhabihu zao, wanazozitoa dhabihu katika uwanja,+ nao watazileta kwa Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa kuhani,+ nao watatoa dhabihu hizo zikiwa dhabihu za ushirika kwa Yehova.+ 6 Naye kuhani atainyunyiza damu juu ya madhabahu+ ya Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano, naye atayafukiza mafuta+ yawe harufu ya kumtuliza Yehova.+ 7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa wale roho waovu wenye umbo la mbuzi+ wanaofanya uasherati+ pamoja nao. Hiyo itakuwa sheria kwenu mpaka wakati usio na kipimo, katika vizazi vyenu vyote.”’

8 “Nawe utawaambia, ‘Mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni yeyote ambaye huenda akawa anakaa akiwa mgeni katikati yenu anayetoa toleo la kuteketezwa+ au dhabihu 9 naye asiilete kwenye mwingilio wa hema la mkutano ili kuitoa kwa Yehova,+ mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.+

10 “‘Na mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu atakayekula namna yoyote ya damu,+ nitauweka uso wangu dhidi ya nafsi+ hiyo inayokula damu, nami hakika nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake. 11 Kwa maana nafsi ya mwili iko katika damu,+ nami mwenyewe nimeiweka juu ya madhabahu ili ninyi mfanye upatanisho+ kwa ajili ya nafsi zenu, kwa sababu damu+ ndiyo hufanya upatanisho+ kupitia nafsi iliyo ndani yake. 12 Ndiyo sababu nimewaambia wana wa Israeli: “Nafsi yoyote kati yenu isile damu na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu+ hapaswi kula damu.”+

13 “‘Na mtu yeyote kati ya wana wa Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu ambaye katika kuwinda anamkamata mnyama-mwitu au ndege anayeweza kuliwa, basi ataimwaga damu+ yake na kuifunika kwa mavumbi.+ 14 Kwa maana nafsi ya kila namna ya mwili ni damu yake kwa nafsi iliyo ndani yake. Basi niliwaambia wana wa Israeli: “Hamtakula damu ya mwili wa namna yoyote, kwa sababu nafsi ya kila mwili wa namna yoyote iko katika damu yake.+ Mtu yeyote atakayeila atakatiliwa mbali.”+ 15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi. 16 Lakini ikiwa hatayafua naye hataoga mwili wake, basi atajibu kwa kosa lake.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki