5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova.
31 Naye atayaondoa mafuta yake yote,+ kama mafuta yalivyoondolewa kwenye dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atayafukiza kwenye madhabahu yawe harufu ya kumtuliza Yehova;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.+