31 Ataondoa mafuta yake yote+ kama mafuta ya dhabihu ya ushirika+ yanavyoondolewa, na kuhani atayateketeza kwenye madhabahu ili yafuke moshi yakiwa harufu inayompendeza Yehova; naye kuhani atatoa dhabihu ya kufunika dhambi ya mtu huyo, naye atasamehewa.