17 Naye atampasua kwenye mabawa yake. Hatamgawanya.+ Kisha kuhani atamfukiza kwenye madhabahu juu ya kuni zilizo katika moto. Ni toleo la kuteketezwa,+ toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+
31 Naye atayaondoa mafuta yake yote,+ kama mafuta yalivyoondolewa kwenye dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atayafukiza kwenye madhabahu yawe harufu ya kumtuliza Yehova;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.+
2 na endeleeni kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyowapenda ninyi+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yenu kuwa toleo+ na dhabihu kwa Mungu ili kuwa harufu tamu.+