Mambo ya Walawi 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Atampasua kwenye mabawa yake bila kumkata vipande viwili. Kisha kuhani atamchoma moto juu ya kuni zilizo kwenye madhabahu ili afuke moshi. Ni dhabihu ya kuteketezwa, dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.
17 Atampasua kwenye mabawa yake bila kumkata vipande viwili. Kisha kuhani atamchoma moto juu ya kuni zilizo kwenye madhabahu ili afuke moshi. Ni dhabihu ya kuteketezwa, dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.