Mambo ya Walawi 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye atampasua kwenye mabawa yake. Hatamgawanya.+ Kisha kuhani atamfukiza kwenye madhabahu juu ya kuni zilizo katika moto. Ni toleo la kuteketezwa,+ toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+
17 Naye atampasua kwenye mabawa yake. Hatamgawanya.+ Kisha kuhani atamfukiza kwenye madhabahu juu ya kuni zilizo katika moto. Ni toleo la kuteketezwa,+ toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+