Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 1:1

Marejeo

  • +Kut 40:34; Hes 12:5

Mambo ya Walawi 1:2

Marejeo

  • +Law 22:18

Mambo ya Walawi 1:3

Marejeo

  • +Law 12:6; Hes 15:3
  • +Kut 12:5; Law 22:20; Kum 15:21; Mal 1:14; Ebr 9:14; 1Pe 1:19
  • +2Ko 9:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 29-30

Mambo ya Walawi 1:4

Marejeo

  • +Isa 56:7
  • +Hes 15:25; Ro 3:25; 1Yo 2:2

Mambo ya Walawi 1:5

Marejeo

  • +Ebr 10:11
  • +Ebr 9:13; 1Pe 1:2

Mambo ya Walawi 1:6

Marejeo

  • +Law 7:8

Mambo ya Walawi 1:7

Marejeo

  • +Law 6:12
  • +Mwa 22:9; Ne 13:31

Mambo ya Walawi 1:8

Marejeo

  • +Kut 29:17; Law 9:13; 1Fa 18:23

Mambo ya Walawi 1:9

Marejeo

  • +Law 8:21; 9:14
  • +Mwa 8:21; Kut 29:18; Hes 15:3; Efe 5:2; Flp 4:18

Mambo ya Walawi 1:10

Marejeo

  • +Mwa 4:4
  • +Law 22:19
  • +Law 22:20; Mal 1:14; 1Pe 1:19

Mambo ya Walawi 1:11

Marejeo

  • +Law 9:12; 2Nya 29:22

Mambo ya Walawi 1:12

Marejeo

  • +Law 9:13; 1Fa 18:23

Mambo ya Walawi 1:13

Marejeo

  • +Law 9:14
  • +Kut 29:17
  • +Kut 29:18
  • +Kut 29:41; Law 1:9

Mambo ya Walawi 1:14

Marejeo

  • +Lu 2:24
  • +Law 5:7; 12:8

Mambo ya Walawi 1:15

Marejeo

  • +Law 5:8

Mambo ya Walawi 1:16

Marejeo

  • +Kut 27:3; Law 4:12; 6:10

Mambo ya Walawi 1:17

Marejeo

  • +Mwa 15:10
  • +Mwa 8:20; Kut 29:18
  • +Law 6:21; Hes 28:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 1:1Kut 40:34; Hes 12:5
Law. 1:2Law 22:18
Law. 1:3Law 12:6; Hes 15:3
Law. 1:3Kut 12:5; Law 22:20; Kum 15:21; Mal 1:14; Ebr 9:14; 1Pe 1:19
Law. 1:32Ko 9:7
Law. 1:4Isa 56:7
Law. 1:4Hes 15:25; Ro 3:25; 1Yo 2:2
Law. 1:5Ebr 10:11
Law. 1:5Ebr 9:13; 1Pe 1:2
Law. 1:6Law 7:8
Law. 1:7Law 6:12
Law. 1:7Mwa 22:9; Ne 13:31
Law. 1:8Kut 29:17; Law 9:13; 1Fa 18:23
Law. 1:9Law 8:21; 9:14
Law. 1:9Mwa 8:21; Kut 29:18; Hes 15:3; Efe 5:2; Flp 4:18
Law. 1:10Mwa 4:4
Law. 1:10Law 22:19
Law. 1:10Law 22:20; Mal 1:14; 1Pe 1:19
Law. 1:11Law 9:12; 2Nya 29:22
Law. 1:12Law 9:13; 1Fa 18:23
Law. 1:13Law 9:14
Law. 1:13Kut 29:17
Law. 1:13Kut 29:18
Law. 1:13Kut 29:41; Law 1:9
Law. 1:14Lu 2:24
Law. 1:14Law 5:7; 12:8
Law. 1:15Law 5:8
Law. 1:16Kut 27:3; Law 4:12; 6:10
Law. 1:17Mwa 15:10
Law. 1:17Mwa 8:20; Kut 29:18
Law. 1:17Law 6:21; Hes 28:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 1:1-17

Mambo ya Walawi

Mambo ya Walawi

1 Yehova akamwita Musa, akasema naye kutoka katika hema la mkutano,+ akamwambia: 2 “Sema na wana wa Israeli,+ nawe utawaambia, ‘Ikiwa mtu fulani kati yenu atatoa toleo kwa Yehova kutoka katika wanyama wa kufugwa, mtatoa toleo lenu kutoka katika mifugo na kutoka katika kundi.

3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+ 4 Naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha toleo hilo la kuteketezwa, nalo litakubaliwa+ kwa neema ili afanye upatanisho kwa ajili yake.+

5 “‘Kisha yule ng’ombe-dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova; na wana wa Haruni, makuhani,+ wataitoa damu na kuinyunyiza damu hiyo kwenye madhabahu kuizunguka pande zote,+ madhabahu iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano. 6 Nalo toleo la kuteketezwa litachunwa ngozi na kukatwa katika vipande vyake.+ 7 Na wana wa Haruni, makuhani, watawasha moto kwenye madhabahu+ na kuweka kuni kwa utaratibu kwenye moto.+ 8 Na wana wa Haruni, makuhani, watavipanga vile vipande+ kwa utaratibu, kichwa na mafuta juu ya kuni zilizo katika moto ulio kwenye madhabahu. 9 Na matumbo+ yake na miguu yake itaoshwa kwa maji; naye kuhani atafukiza vyote hivyo kwenye madhabahu viwe toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+

10 “‘Na ikiwa toleo lake linatoka katika kundi,+ kutoka kati ya wana-kondoo dume au mbuzi, wa kiume,+ asiye na kasoro, ndiye atakayemtoa kuwa toleo la kuteketezwa.+ 11 Naye atachinjwa kando ya madhabahu kuelekea kaskazini mbele za Yehova, nao wana wa Haruni, makuhani, watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.+ 12 Naye atamkata katika vipande vyake na kichwa chake na mafuta yake, naye kuhani ataviweka kwa utaratibu juu ya kuni zilizo katika moto ulio kwenye madhabahu.+ 13 Naye atayaosha matumbo+ na miguu+ kwa maji; naye kuhani atatoa vyote hivyo na kuvifukiza+ kwenye madhabahu. Ni toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+

14 “‘Hata hivyo, ikiwa toleo lake la kuteketezwa kwa Yehova ni toleo linalotoka kati ya ndege, basi atatoa toleo lake kutoka kati ya njiwa-tetere+ au hua wachanga.+ 15 Naye kuhani atamtoa kwenye madhabahu na kukikongonyoa+ kichwa chake na kumfukiza kwenye madhabahu, lakini damu yake itamwagwa kando ya madhabahu. 16 Naye ataondoa gole lake na manyoya yake na kuyatupa kando ya madhabahu, upande wa mashariki, mahali pa majivu yenye mafuta.+ 17 Naye atampasua kwenye mabawa yake. Hatamgawanya.+ Kisha kuhani atamfukiza kwenye madhabahu juu ya kuni zilizo katika moto. Ni toleo la kuteketezwa,+ toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki