Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 2:1

Marejeo

  • +Law 6:14; 9:17; Hes 15:4
  • +Kut 29:2; Hes 7:13

Mambo ya Walawi 2:2

Marejeo

  • +Law 6:15; Hes 5:26

Mambo ya Walawi 2:3

Marejeo

  • +Law 7:9
  • +Law 10:12; Hes 18:9

Mambo ya Walawi 2:4

Marejeo

  • +Kut 29:23; Law 8:26
  • +Kut 29:2; Law 7:10; Hes 6:15
  • +Hes 6:19; 1Ko 5:7

Mambo ya Walawi 2:5

Marejeo

  • +Law 6:21; 7:9; 1Nya 23:29

Mambo ya Walawi 2:6

Marejeo

  • +Hes 28:9

Mambo ya Walawi 2:9

Marejeo

  • +Law 2:2; 5:12
  • +Kut 29:41; Hes 28:8

Mambo ya Walawi 2:10

Marejeo

  • +Hes 18:9; Ebr 13:10

Mambo ya Walawi 2:11

Marejeo

  • +Kut 12:19; Law 6:17; Mt 16:12; 1Ko 5:7; Gal 5:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 21-22

Mambo ya Walawi 2:12

Marejeo

  • +Kut 23:19; Hes 15:20; 2Nya 31:5; Met 3:9; 1Ko 15:20; Ufu 14:4

Mambo ya Walawi 2:13

Marejeo

  • +Eze 43:24
  • +Hes 18:19; 2Nya 13:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 520

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 22

    8/15/1999, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 22; w99 8/15 32

Mambo ya Walawi 2:14

Marejeo

  • +Kut 23:16; 34:22; Hes 28:26

Mambo ya Walawi 2:15

Marejeo

  • +Yer 17:26; 41:5

Mambo ya Walawi 2:16

Marejeo

  • +Kut 29:25; Law 5:12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 2:1Law 6:14; 9:17; Hes 15:4
Law. 2:1Kut 29:2; Hes 7:13
Law. 2:2Law 6:15; Hes 5:26
Law. 2:3Law 7:9
Law. 2:3Law 10:12; Hes 18:9
Law. 2:4Kut 29:23; Law 8:26
Law. 2:4Kut 29:2; Law 7:10; Hes 6:15
Law. 2:4Hes 6:19; 1Ko 5:7
Law. 2:5Law 6:21; 7:9; 1Nya 23:29
Law. 2:6Hes 28:9
Law. 2:9Law 2:2; 5:12
Law. 2:9Kut 29:41; Hes 28:8
Law. 2:10Hes 18:9; Ebr 13:10
Law. 2:11Kut 12:19; Law 6:17; Mt 16:12; 1Ko 5:7; Gal 5:9
Law. 2:12Kut 23:19; Hes 15:20; 2Nya 31:5; Met 3:9; 1Ko 15:20; Ufu 14:4
Law. 2:13Eze 43:24
Law. 2:13Hes 18:19; 2Nya 13:5
Law. 2:14Kut 23:16; 34:22; Hes 28:26
Law. 2:15Yer 17:26; 41:5
Law. 2:16Kut 29:25; Law 5:12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 2:1-16

Mambo ya Walawi

2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake. 2 Naye atauleta kwa wana wa Haruni, makuhani, naye kuhani atachukua kipimo cha mkono mmoja wa unga huo laini na mafuta yake pamoja na ubani wake wote; naye ataufukiza uwe kumbukumbu+ lake kwenye madhabahu, kama toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova. 3 Na kilichobaki kutokana na lile toleo la nafaka ni cha Haruni na wanawe,+ kama kitu kitakatifu+ zaidi kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.

4 “‘Na ikiwa utatoa toleo la nafaka la kitu kilichookwa jikoni, kinapaswa kuwa cha unga laini, keki za mviringo+ zilizotiwa mafuta zisizo na chachu, au mkate mwembamba uliotiwa mafuta+ usio na chachu.+

5 “‘Na ikiwa toleo lako ni toleo la nafaka kutoka katika kiokeo,+ litakuwa la unga laini uliotiwa mafuta, usio na chachu. 6 Litavunjwa vipande-vipande, nawe utamimina mafuta juu yake.+ Ni toleo la nafaka.

7 “‘Na ikiwa toleo lako ni toleo la nafaka kutoka katika sufuria ya kukaangia, litafanywa kwa unga laini pamoja na mafuta. 8 Nawe utaleta kwa Yehova toleo hilo la nafaka lililofanywa kwa vitu hivyo; nalo litatolewa kwa kuhani naye atalileta karibu na madhabahu. 9 Naye kuhani atachukua sehemu ya toleo hilo la nafaka kuwa kumbukumbu+ lake na kuifukiza kwenye madhabahu, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+ 10 Na kilichobaki kutoka katika toleo hilo la nafaka ni cha Haruni na wanawe, kama kitu kitakatifu zaidi cha matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.+

11 “‘Hakuna toleo lolote la nafaka ambalo mtamtolea Yehova litakalofanywa kuwa kitu kilichotiwa chachu,+ kwa sababu hamtafukiza unga wowote uliokandwa wenye chachu wala asali yoyote, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.

12 “‘Likiwa ni toleo la mazao ya kwanza,+ mtamtolea Yehova vitu hivyo, navyo visiletwe juu ya madhabahu viwe harufu ya kutuliza.

13 “‘Na kila toleo kati ya toleo lako la nafaka utalikoleza kwa chumvi;+ wala usikubali chumvi ya agano+ la Mungu wako ikosekane kwenye toleo lako la nafaka. Pamoja na kila toleo lako utatoa chumvi.

14 “‘Na ikiwa utamtolea Yehova toleo la nafaka la matunda ya kwanza yaliyoiva, utatoa masuke mabichi yaliyookwa kwa moto, chenga-chenga za nafaka mpya, kuwa toleo la matunda yako ya kwanza yaliyoiva.+ 15 Nawe utatia mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake. Ni toleo la nafaka.+ 16 Naye kuhani atafukiza kumbukumbu+ lake, yaani, sehemu ya chenga-chenga zake na mafuta, pamoja na ubani wake wote, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki