Mambo ya Walawi 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kuhani ataiteketeza ikiwa dhabihu ya kumbukumbu*+ ili ifuke moshi, yaani, baadhi ya chengachenga za nafaka pamoja na mafuta na ubani wake wote. Ni dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto.
16 Kuhani ataiteketeza ikiwa dhabihu ya kumbukumbu*+ ili ifuke moshi, yaani, baadhi ya chengachenga za nafaka pamoja na mafuta na ubani wake wote. Ni dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto.