Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Yaliyo bora zaidi kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wako utayaleta katika nyumba ya Yehova Mungu wako.+

      “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Hesabu 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtatoa mchango wa mazao ya kwanza+ ya unga wenu wenye chenga-chenga ukiwa keki za mviringo. Kama ulivyo mchango wa uwanja wa kupuria ndivyo mtakavyoutoa mchango huo.

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mara tu lile neno lilipoenea, wana wa Israeli+ wakazidisha mazao ya kwanza ya nafaka,+ divai mpya,+ na mafuta+ na asali+ na mazao yote ya shamba,+ nao wakaleta kwa wingi sehemu ya kumi ya kila kitu.+

  • Methali 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani+ na kwa matunda ya kwanza ya mazao yako yote.+

  • 1 Wakorintho 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+

  • Ufunuo 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hao ndio wale ambao hawakujitia unajisi na wanawake;+ kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wale wanaoendelea kumfuata Mwana-Kondoo popote anapoenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki