Mambo ya Walawi 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi ambayo nitawapa ninyi, nanyi mtakapokuwa mmevuna mavuno yake, mtaleta pia mganda wa matunda ya kwanza+ ya mavuno yenu kwa kuhani. Wakolosai 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili yeye awe ndiye wa kwanza+ katika vitu vyote;
10 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi ambayo nitawapa ninyi, nanyi mtakapokuwa mmevuna mavuno yake, mtaleta pia mganda wa matunda ya kwanza+ ya mavuno yenu kwa kuhani.
18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili yeye awe ndiye wa kwanza+ katika vitu vyote;