30 Na ya kwanza kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya kila kitu na kila mchango wa kila kitu kutoka katika michango yenu yote—yatakuwa ni ya makuhani;+ na matunda ya kwanza ya unga wenu wenye chenga-chenga mtawapa makuhani,+ ili kufanya baraka ikae juu ya nyumba yako.+