Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Vyote vilivyo bora katika mafuta na vyote vilivyo bora katika divai mpya na nafaka, matunda yao ya kwanza,+ ambayo watampa Yehova, nimekupa wewe.+

  • Methali 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani+ na kwa matunda ya kwanza ya mazao yako yote.+

  • Ezekieli 44:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na ya kwanza kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya kila kitu na kila mchango wa kila kitu kutoka katika michango yenu yote—yatakuwa ni ya makuhani;+ na matunda ya kwanza ya unga wenu wenye chenga-chenga mtawapa makuhani,+ ili kufanya baraka ikae juu ya nyumba yako.+

  • 1 Wakorintho 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+

  • Yakobo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa sababu yeye alipenda+ hilo, alituzaa sisi kwa njia ya neno la kweli,+ ili sisi tuwe sehemu fulani ya matunda ya kwanza+ ya viumbe vyake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki