14 “‘Na ikiwa utamtolea Yehova toleo la nafaka la matunda ya kwanza yaliyoiva, utatoa masuke mabichi yaliyookwa kwa moto, chenga-chenga za nafaka mpya, kuwa toleo la matunda yako ya kwanza yaliyoiva.+
35 na kuleta kwenye nyumba ya Yehova matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wetu+ na matunda ya kwanza yaliyoiva ya mazao yote ya kila namna ya mti,+ mwaka baada ya mwaka;