Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Yaliyo bora zaidi kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wako utayaleta katika nyumba ya Yehova Mungu wako.+

      “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Hesabu 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Vyote vilivyo bora katika mafuta na vyote vilivyo bora katika divai mpya na nafaka, matunda yao ya kwanza,+ ambayo watampa Yehova, nimekupa wewe.+

  • Kumbukumbu la Torati 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na sasa, tazama, nimeleta matunda ya kwanza ya mazao ya nchi ambayo Yehova amenipa mimi.’+

      “Utayaweka mbele za Yehova Mungu wako na kuinama chini mbele za Yehova Mungu wako.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tena akawaambia watu, wakaaji wa Yerusalemu, kwamba watoe fungu la makuhani+ na la Walawi,+ ili waishike+ kabisa sheria ya Yehova.+

  • Nehemia 12:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Tena wanaume wakawekwa siku hiyo juu ya majumba+ ya maghala,+ ya michango,+ ya mazao ya kwanza+ na ya sehemu za kumi,+ ili kukusanya ndani yake mafungu yaliyohitajiwa na sheria+ kutoka katika mashamba ya majiji kwa ajili ya makuhani na Walawi;+ kwa maana shangwe ya Yuda ilitokana na makuhani na Walawi+ waliokuwa wakihudumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki