Kutoka 34:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Matunda ya kwanza yaliyoiva yaliyo bora+ zaidi ya udongo wako utayaleta kwenye nyumba ya Yehova Mungu wako.+ “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.”+ Hesabu 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Vyote vilivyo bora katika mafuta na vyote vilivyo bora katika divai mpya na nafaka, matunda yao ya kwanza,+ ambayo watampa Yehova, nimekupa wewe.+ Nehemia 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 na kuleta kwenye nyumba ya Yehova matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wetu+ na matunda ya kwanza yaliyoiva ya mazao yote ya kila namna ya mti,+ mwaka baada ya mwaka; 1 Wakorintho 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+
26 “Matunda ya kwanza yaliyoiva yaliyo bora+ zaidi ya udongo wako utayaleta kwenye nyumba ya Yehova Mungu wako.+ “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.”+
12 “Vyote vilivyo bora katika mafuta na vyote vilivyo bora katika divai mpya na nafaka, matunda yao ya kwanza,+ ambayo watampa Yehova, nimekupa wewe.+
35 na kuleta kwenye nyumba ya Yehova matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wetu+ na matunda ya kwanza yaliyoiva ya mazao yote ya kila namna ya mti,+ mwaka baada ya mwaka;
20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+