Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 31
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 31:1

Marejeo

  • +2Nya 11:16
  • +2Nya 24:5
  • +Kut 23:24; 2Fa 10:16; 2Nya 14:3
  • +Kum 7:5; 2Fa 18:4; 2Nya 34:3; 1Ko 10:14
  • +Kum 12:2
  • +2Nya 23:17
  • +2Nya 14:5
  • +2Nya 30:1
  • +2Nya 30:18

2 Mambo ya Nyakati 31:2

Marejeo

  • +1Nya 24:1
  • +1Nya 23:6
  • +2Nya 5:11; Lu 1:5
  • +2Nya 8:14; 23:8
  • +1Nya 16:40
  • +1Nya 16:1; 21:26
  • +1Nya 23:13; 26:12; 2Nya 13:10
  • +1Nya 16:4; 23:30
  • +1Nya 23:5; Zb 22:22

2 Mambo ya Nyakati 31:3

Marejeo

  • +1Nya 26:26
  • +2Nya 30:24
  • +Kut 29:39; Hes 28:4
  • +Hes 28:9
  • +1Nya 23:31
  • +Law 23:2
  • +Hes 28:2

2 Mambo ya Nyakati 31:4

Marejeo

  • +Ne 10:38
  • +Hes 18:21
  • +Ne 13:10; 1Ko 9:9
  • +Mal 2:7

2 Mambo ya Nyakati 31:5

Marejeo

  • +Ne 12:44
  • +Kut 23:19
  • +Kut 22:29; Ne 10:37
  • +Hes 18:12
  • +Mwa 43:11
  • +Ne 10:35
  • +Met 3:9

2 Mambo ya Nyakati 31:6

Marejeo

  • +2Nya 11:16
  • +Law 27:30; Kum 14:28

2 Mambo ya Nyakati 31:7

Marejeo

  • +Law 23:16
  • +Law 23:24

2 Mambo ya Nyakati 31:8

Marejeo

  • +1Nya 28:1
  • +Ezr 7:27
  • +2Sa 6:18; 2Nya 6:3

2 Mambo ya Nyakati 31:9

Marejeo

  • +2Nya 31:6

2 Mambo ya Nyakati 31:10

Marejeo

  • +2Nya 26:17
  • +1Nya 6:8
  • +Hes 18:8; 31:29
  • +Mal 3:10
  • +2Fa 4:43
  • +Mwa 26:12; Law 25:21; Met 10:22

2 Mambo ya Nyakati 31:11

Marejeo

  • +1Nya 28:12; Ne 10:38

2 Mambo ya Nyakati 31:12

Marejeo

  • +Hes 31:29
  • +Law 27:30; Kum 14:28
  • +2Fa 12:15

2 Mambo ya Nyakati 31:13

Marejeo

  • +2Nya 26:17

2 Mambo ya Nyakati 31:14

Marejeo

  • +1Nya 26:12
  • +1Nya 26:17
  • +Hes 29:39; Kum 12:6; 16:10
  • +Hes 18:8
  • +Law 2:10; 7:1

2 Mambo ya Nyakati 31:15

Marejeo

  • +Yos 21:19
  • +1Nya 9:22
  • +1Nya 24:1
  • +1Nya 25:8

2 Mambo ya Nyakati 31:16

Marejeo

  • +1Nya 9:1
  • +Hes 3:15

2 Mambo ya Nyakati 31:17

Marejeo

  • +Hes 17:3; 1Nya 24:4
  • +1Nya 24:30
  • +Hes 4:3; 8:24; 1Nya 23:24
  • +1Nya 23:6

2 Mambo ya Nyakati 31:18

Marejeo

  • +2Nya 29:15
  • +1Nya 9:22; 2Nya 31:15

2 Mambo ya Nyakati 31:19

Marejeo

  • +1Nya 24:1
  • +Law 25:34; Hes 35:2; Yos 21:13

2 Mambo ya Nyakati 31:20

Marejeo

  • +2Fa 20:3; Met 12:2
  • +Kum 12:28; 1Th 2:10
  • +Met 28:20; Mdo 24:16

2 Mambo ya Nyakati 31:21

Marejeo

  • +2Nya 29:35
  • +Kum 32:46; Zb 1:2
  • +Kum 4:29
  • +Kum 6:5; 10:12; 1Fa 8:61
  • +Kum 29:9; Yos 1:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 31:12Nya 11:16
2 Nya. 31:12Nya 24:5
2 Nya. 31:1Kut 23:24; 2Fa 10:16; 2Nya 14:3
2 Nya. 31:1Kum 7:5; 2Fa 18:4; 2Nya 34:3; 1Ko 10:14
2 Nya. 31:1Kum 12:2
2 Nya. 31:12Nya 23:17
2 Nya. 31:12Nya 14:5
2 Nya. 31:12Nya 30:1
2 Nya. 31:12Nya 30:18
2 Nya. 31:21Nya 24:1
2 Nya. 31:21Nya 23:6
2 Nya. 31:22Nya 5:11; Lu 1:5
2 Nya. 31:22Nya 8:14; 23:8
2 Nya. 31:21Nya 16:40
2 Nya. 31:21Nya 16:1; 21:26
2 Nya. 31:21Nya 23:13; 26:12; 2Nya 13:10
2 Nya. 31:21Nya 16:4; 23:30
2 Nya. 31:21Nya 23:5; Zb 22:22
2 Nya. 31:31Nya 26:26
2 Nya. 31:32Nya 30:24
2 Nya. 31:3Kut 29:39; Hes 28:4
2 Nya. 31:3Hes 28:9
2 Nya. 31:31Nya 23:31
2 Nya. 31:3Law 23:2
2 Nya. 31:3Hes 28:2
2 Nya. 31:4Ne 10:38
2 Nya. 31:4Hes 18:21
2 Nya. 31:4Ne 13:10; 1Ko 9:9
2 Nya. 31:4Mal 2:7
2 Nya. 31:5Ne 12:44
2 Nya. 31:5Kut 23:19
2 Nya. 31:5Kut 22:29; Ne 10:37
2 Nya. 31:5Hes 18:12
2 Nya. 31:5Mwa 43:11
2 Nya. 31:5Ne 10:35
2 Nya. 31:5Met 3:9
2 Nya. 31:62Nya 11:16
2 Nya. 31:6Law 27:30; Kum 14:28
2 Nya. 31:7Law 23:16
2 Nya. 31:7Law 23:24
2 Nya. 31:81Nya 28:1
2 Nya. 31:8Ezr 7:27
2 Nya. 31:82Sa 6:18; 2Nya 6:3
2 Nya. 31:92Nya 31:6
2 Nya. 31:102Nya 26:17
2 Nya. 31:101Nya 6:8
2 Nya. 31:10Hes 18:8; 31:29
2 Nya. 31:10Mal 3:10
2 Nya. 31:102Fa 4:43
2 Nya. 31:10Mwa 26:12; Law 25:21; Met 10:22
2 Nya. 31:111Nya 28:12; Ne 10:38
2 Nya. 31:12Hes 31:29
2 Nya. 31:12Law 27:30; Kum 14:28
2 Nya. 31:122Fa 12:15
2 Nya. 31:132Nya 26:17
2 Nya. 31:141Nya 26:12
2 Nya. 31:141Nya 26:17
2 Nya. 31:14Hes 29:39; Kum 12:6; 16:10
2 Nya. 31:14Hes 18:8
2 Nya. 31:14Law 2:10; 7:1
2 Nya. 31:15Yos 21:19
2 Nya. 31:151Nya 9:22
2 Nya. 31:151Nya 24:1
2 Nya. 31:151Nya 25:8
2 Nya. 31:161Nya 9:1
2 Nya. 31:16Hes 3:15
2 Nya. 31:17Hes 17:3; 1Nya 24:4
2 Nya. 31:171Nya 24:30
2 Nya. 31:17Hes 4:3; 8:24; 1Nya 23:24
2 Nya. 31:171Nya 23:6
2 Nya. 31:182Nya 29:15
2 Nya. 31:181Nya 9:22; 2Nya 31:15
2 Nya. 31:191Nya 24:1
2 Nya. 31:19Law 25:34; Hes 35:2; Yos 21:13
2 Nya. 31:202Fa 20:3; Met 12:2
2 Nya. 31:20Kum 12:28; 1Th 2:10
2 Nya. 31:20Met 28:20; Mdo 24:16
2 Nya. 31:212Nya 29:35
2 Nya. 31:21Kum 32:46; Zb 1:2
2 Nya. 31:21Kum 4:29
2 Nya. 31:21Kum 6:5; 10:12; 1Fa 8:61
2 Nya. 31:21Kum 29:9; Yos 1:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 31:1-21

2 Mambo ya Nyakati

31 Na mara tu walipomaliza hayo yote, Waisraeli+ wote waliokuwa hapo wakaenda katika majiji ya Yuda,+ nao wakazivunja nguzo takatifu+ na kuikata miti mitakatifu+ na kupabomoa mahali pa juu+ na madhabahu+ kutoka katika Yuda+ yote na Benyamini na katika Efraimu+ na Manase+ mpaka walipomaliza; kisha wana wote wa Israeli wakarudi katika majiji yao, kila mmoja kwenye miliki yake.

2 Kisha Hezekia akaweka migawanyo+ ya makuhani na ya Walawi+ katika migawanyo yao, kila mmoja kulingana na utumishi wake kwa ajili ya makuhani+ na kwa ajili ya Walawi+ kuhusiana na toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ ili kuhudumu+ na kutoa shukrani+ na sifa+ katika malango ya kambi za Yehova. 3 Na kulikuwa na fungu la mfalme kutoka katika mali zake mwenyewe+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa,+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa ya asubuhi+ na jioni, na pia matoleo ya kuteketezwa kwa ajili ya sabato+ na kwa ajili ya miezi mipya+ na kwa ajili ya majira ya sherehe,+ kulingana na yaliyoandikwa katika sheria ya Yehova.+

4 Tena akawaambia watu, wakaaji wa Yerusalemu, kwamba watoe fungu la makuhani+ na la Walawi,+ ili waishike+ kabisa sheria ya Yehova.+ 5 Na mara tu lile neno lilipoenea, wana wa Israeli+ wakazidisha mazao ya kwanza ya nafaka,+ divai mpya,+ na mafuta+ na asali+ na mazao yote ya shamba,+ nao wakaleta kwa wingi sehemu ya kumi ya kila kitu.+ 6 Na wana wa Israeli na wa Yuda waliokuwa wakikaa katika majiji ya Yuda,+ wao wenyewe wakaleta sehemu ya kumi ya ng’ombe na kondoo na sehemu ya kumi ya vitu vitakatifu,+ vitu vilivyotakaswa kwa Yehova Mungu wao. Wakaleta, nao wakatoa mafungu juu ya mafungu. 7 Katika mwezi wa tatu+ walianzisha mafungu kwa kuweka tabaka ya chini zaidi, na katika mwezi wa saba+ wakamaliza. 8 Wakati Hezekia na wakuu+ walipokuja na kuona yale mafungu, wakambariki+ Yehova na watu wake Israeli.+

9 Baada ya muda Hezekia akawauliza makuhani na Walawi habari za yale mafungu.+ 10 Ndipo Azaria+ mkuu wa makuhani wa nyumba ya Sadoki+ akamwambia, ndiyo, akasema: “Tangu walipoanza kuleta mchango+ ndani ya nyumba ya Yehova kumekuwako kula na kushiba+ na kuwa na ziada kwa wingi;+ kwa kuwa Yehova mwenyewe amewabariki watu wake,+ na kilichobaki ni hiki kiasi kingi.”

11 Kwa hiyo Hezekia akasema vyumba vya kulia chakula+ vitayarishwe katika nyumba ya Yehova. Basi wakavitayarisha. 12 Nao wakaendelea kuleta ule mchango+ na ile sehemu ya kumi+ na vile vitu vitakatifu kwa uaminifu;+ na Konania Mlawi alikuwa akiwasimamia akiwa kiongozi, na Shimei ndugu yake alikuwa wa pili. 13 Na Yehieli na Azazia na Nahathi na Asaheli na Yerimothi na Yozabadi na Elieli na Ismakia na Mahathi na Benaya walikuwa wajumbe kando ya Konania na Shimei ndugu yake, kwa agizo la Hezekia mfalme, na Azaria+ alikuwa ndiye kiongozi wa nyumba ya Mungu wa kweli. 14 Na Kore mwana wa Imna Mlawi alikuwa mtunza-lango+ upande wa mashariki,+ mwenye kusimamia matoleo ya hiari+ ya Mungu wa kweli, ili kutoa mchango+ wa Yehova na vitu vitakatifu zaidi.+ 15 Na chini yake palikuwa na Edeni na Miniamini na Yeshua na Shemaya, Amaria na Shekania, katika majiji ya makuhani,+ katika vyeo vyenye kutegemeka,+ ili kuwapa ndugu zao katika migawanyo,+ wakubwa na wadogo kwa kiwango sawasawa;+ 16 mbali na maandikisho ya kiukoo+ ya wanaume wenye umri wa kuanzia miaka mitatu na zaidi,+ kati ya wale wote wanaoingia katika nyumba ya Yehova kama desturi ya kila siku, kwa ajili ya utumishi wao kulingana na wajibu wao kufuatana na migawanyo yao.

17 Huu ndio uandikisho wa kiukoo wa makuhani kulingana na nyumba za baba+ zao na pia za Walawi,+ kuanzia umri wa miaka 20+ na zaidi, kulingana na wajibu wao katika migawanyo+ yao; 18 kwa ajili ya uandikisho wa kiukoo kati ya watoto wao wote, wake zao na wana wao na binti zao, kwa ajili ya kutaniko lote, kwa sababu walijitakasa+ katika vyeo vyao vyenye kutegemeka+ kwa ajili ya kilicho kitakatifu; 19 na kwa ajili ya wana wa Haruni,+ makuhani, katika mashamba ya viwanja+ vya malisho vya majiji yao. Katika majiji yote mbalimbali kulikuwa na watu waliowekwa kulingana na majina yao, ili kumpa mafungu kila mwanamume kati ya makuhani na kwa uandikisho wote wa kiukoo kati ya Walawi.

20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake. 21 Na katika kila kazi aliyoanza katika utumishi+ wa nyumba ya Mungu wa kweli na katika sheria+ na katika amri ili kumtafuta+ Mungu wake, alitenda kwa moyo wake wote,+ naye akafanikiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki