3 Baadhi ya mali za mfalme mwenyewe zilitolewa kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa,+ kutia ndani dhabihu zilizotolewa asubuhi na jioni,+ na pia dhabihu za kuteketezwa kwa ajili ya Sabato,+ miezi mipya,+ na sherehe mbalimbali,+ kulingana na mambo yaliyoandikwa katika Sheria ya Yehova.