Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa upande mwingine, hivi ndivyo mtakavyowafanyia: Madhabahu zao mtazibomoa,+ nazo nguzo zao takatifu mtazivunja,+ nayo miti yao mitakatifu+ mtaikata,+ na sanamu zao za kuchongwa mtaziteketeza kwa moto.+

  • 2 Wafalme 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yeye ndiye aliyeondoa mahali pa juu+ na kuzivunja vipande-vipande zile nguzo takatifu+ na kukata ule mti mtakatifu+ na kumponda vipande-vipande yule nyoka wa shaba+ ambaye Musa alitengeneza;+ kwa maana mpaka siku hizo wana wa Israeli walikuwa wameendelea kumfukizia moshi wa dhabihu,+ naye alikuwa akiitwa sanamu+ ya nyoka wa shaba.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na katika mwaka wa nane wa kutawala kwake, alipokuwa angali mvulana,+ akaanza kumtafuta+ Mungu wa Daudi babu yake; na katika mwaka wa kumi na mbili akaanza kutakasa+ Yuda na Yerusalemu kutokana na mahali pa juu+ na miti mitakatifu+ na sanamu za kuchongwa+ na sanamu za kuyeyushwa.

  • 1 Wakorintho 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni+ ibada ya sanamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki