Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 34
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 34:1

Marejeo

  • +1Fa 13:2; Sef 1:1; Mt 1:10
  • +2Nya 24:1
  • +2Fa 22:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21

2 Mambo ya Nyakati 34:2

Marejeo

  • +2Fa 18:3
  • +1Fa 11:38
  • +2Fa 22:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21

2 Mambo ya Nyakati 34:3

Marejeo

  • +1Nya 22:5; Zb 119:9
  • +2Nya 15:2
  • +2Fa 23:4
  • +2Nya 33:17
  • +2Fa 23:14
  • +2Nya 33:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1996, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 3/1 8-9

2 Mambo ya Nyakati 34:4

Marejeo

  • +Law 26:30; Kum 7:5
  • +Amu 2:11; 2Nya 33:3
  • +2Nya 14:5
  • +2Fa 23:4
  • +Amu 18:18
  • +Kut 32:20; Kum 9:21
  • +2Fa 10:25; 23:6

2 Mambo ya Nyakati 34:5

Marejeo

  • +1Fa 13:2
  • +2Fa 23:16

2 Mambo ya Nyakati 34:6

Marejeo

  • +2Nya 30:10; 31:1
  • +2Fa 23:19; 2Nya 30:1

2 Mambo ya Nyakati 34:7

Marejeo

  • +Kum 12:3; 2Fa 23:12
  • +2Fa 23:4
  • +2Fa 17:41; 2Nya 33:19
  • +Kum 9:21
  • +2Nya 14:5

2 Mambo ya Nyakati 34:8

Marejeo

  • +2Fa 22:3
  • +2Fa 22:12
  • +2Fa 22:5

2 Mambo ya Nyakati 34:9

Marejeo

  • +2Fa 22:4
  • +1Nya 26:12
  • +2Nya 30:11
  • +2Nya 31:1
  • +2Nya 30:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

2 Mambo ya Nyakati 34:10

Marejeo

  • +2Fa 22:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

2 Mambo ya Nyakati 34:11

Marejeo

  • +2Fa 12:12
  • +2Fa 22:6
  • +2Fa 16:14; 2Nya 28:24; 33:4, 7, 22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

2 Mambo ya Nyakati 34:12

Marejeo

  • +2Fa 12:15; Ne 7:2; Met 28:20; 1Ko 4:2
  • +1Nya 23:6; 24:26
  • +1Nya 9:32; 2Nya 20:19
  • +1Nya 16:4; 25:1

2 Mambo ya Nyakati 34:13

Marejeo

  • +2Nya 2:10
  • +2Nya 2:18
  • +1Nya 23:3
  • +1Nya 18:16
  • +1Nya 9:17; 2Nya 8:14

2 Mambo ya Nyakati 34:14

Marejeo

  • +2Fa 22:4
  • +2Fa 22:8
  • +Kum 31:24, 26
  • +Kum 17:18; 2Nya 35:26
  • +Law 10:11; 26:46

2 Mambo ya Nyakati 34:15

Marejeo

  • +2Fa 22:10

2 Mambo ya Nyakati 34:17

Marejeo

  • +2Fa 22:5

2 Mambo ya Nyakati 34:18

Marejeo

  • +2Fa 22:8
  • +Kum 31:24; Yos 1:8
  • +Kum 17:19; Zb 119:46

2 Mambo ya Nyakati 34:19

Marejeo

  • +Zb 119:120

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2001, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 4/15 27

2 Mambo ya Nyakati 34:20

Marejeo

  • +2Fa 22:14
  • +2Fa 25:22; Yer 40:14
  • +2Fa 22:9
  • +2Fa 19:2
  • +2Fa 22:12

2 Mambo ya Nyakati 34:21

Marejeo

  • +Kut 18:15; 1Sa 9:9; 1Fa 22:7
  • +Yer 42:2
  • +Kum 31:24; Yos 1:8
  • +Law 26:16; Kum 28:15
  • +Kum 30:18; 31:16; 32:15; Ebr 10:31

2 Mambo ya Nyakati 34:22

Marejeo

  • +2Fa 22:14
  • +Kut 15:20; Amu 4:4; Lu 2:36; Mdo 21:9
  • +2Fa 10:22; Ne 7:72

2 Mambo ya Nyakati 34:24

Marejeo

  • +Yos 23:16; 2Fa 21:12
  • +Yer 35:17
  • +Law 26:16; Kum 28:15; 30:18; Yos 23:13; Da 9:11
  • +2Fa 22:16

2 Mambo ya Nyakati 34:25

Marejeo

  • +Kum 28:20; 2Nya 24:20
  • +2Fa 23:5; 2Nya 28:3
  • +1Fa 14:9; 2Fa 21:3
  • +2Fa 22:17
  • +Kum 29:23; 2Nya 34:21
  • +Yer 4:4; 7:20; Eze 20:48

2 Mambo ya Nyakati 34:26

Marejeo

  • +2Fa 22:18
  • +Kum 28:15; 2Nya 34:19

2 Mambo ya Nyakati 34:27

Marejeo

  • +Zb 34:18
  • +2Nya 32:26
  • +2Fa 22:19
  • +2Nya 34:19
  • +2Nya 33:13; Zb 10:17; 86:5

2 Mambo ya Nyakati 34:28

Marejeo

  • +Zb 37:37
  • +1Fa 21:29; Isa 39:8; 1Pe 5:5
  • +2Fa 22:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 591

2 Mambo ya Nyakati 34:29

Marejeo

  • +2Fa 23:1

2 Mambo ya Nyakati 34:30

Marejeo

  • +1Fa 6:1; 8:10
  • +2Fa 23:2
  • +2Nya 17:9; Ne 8:3
  • +2Fa 22:10

2 Mambo ya Nyakati 34:31

Marejeo

  • +2Fa 23:3
  • +Ezr 10:3
  • +Kum 5:1; 6:1
  • +Kum 4:45; 1Fa 2:3
  • +Kum 12:1
  • +Kum 6:5; 10:12
  • +Kum 11:13
  • +Zb 119:106
  • +Kum 31:24; 2Fa 22:8

2 Mambo ya Nyakati 34:32

Marejeo

  • +2Nya 30:12; 33:16

2 Mambo ya Nyakati 34:33

Marejeo

  • +1Fa 11:5
  • +2Fa 23:5
  • +Kut 3:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 34:11Fa 13:2; Sef 1:1; Mt 1:10
2 Nya. 34:12Nya 24:1
2 Nya. 34:12Fa 22:1
2 Nya. 34:22Fa 18:3
2 Nya. 34:21Fa 11:38
2 Nya. 34:22Fa 22:2
2 Nya. 34:31Nya 22:5; Zb 119:9
2 Nya. 34:32Nya 15:2
2 Nya. 34:32Fa 23:4
2 Nya. 34:32Nya 33:17
2 Nya. 34:32Fa 23:14
2 Nya. 34:32Nya 33:22
2 Nya. 34:4Law 26:30; Kum 7:5
2 Nya. 34:4Amu 2:11; 2Nya 33:3
2 Nya. 34:42Nya 14:5
2 Nya. 34:42Fa 23:4
2 Nya. 34:4Amu 18:18
2 Nya. 34:4Kut 32:20; Kum 9:21
2 Nya. 34:42Fa 10:25; 23:6
2 Nya. 34:51Fa 13:2
2 Nya. 34:52Fa 23:16
2 Nya. 34:62Nya 30:10; 31:1
2 Nya. 34:62Fa 23:19; 2Nya 30:1
2 Nya. 34:7Kum 12:3; 2Fa 23:12
2 Nya. 34:72Fa 23:4
2 Nya. 34:72Fa 17:41; 2Nya 33:19
2 Nya. 34:7Kum 9:21
2 Nya. 34:72Nya 14:5
2 Nya. 34:82Fa 22:3
2 Nya. 34:82Fa 22:12
2 Nya. 34:82Fa 22:5
2 Nya. 34:92Fa 22:4
2 Nya. 34:91Nya 26:12
2 Nya. 34:92Nya 30:11
2 Nya. 34:92Nya 31:1
2 Nya. 34:92Nya 30:18
2 Nya. 34:102Fa 22:5
2 Nya. 34:112Fa 12:12
2 Nya. 34:112Fa 22:6
2 Nya. 34:112Fa 16:14; 2Nya 28:24; 33:4, 7, 22
2 Nya. 34:122Fa 12:15; Ne 7:2; Met 28:20; 1Ko 4:2
2 Nya. 34:121Nya 23:6; 24:26
2 Nya. 34:121Nya 9:32; 2Nya 20:19
2 Nya. 34:121Nya 16:4; 25:1
2 Nya. 34:132Nya 2:10
2 Nya. 34:132Nya 2:18
2 Nya. 34:131Nya 23:3
2 Nya. 34:131Nya 18:16
2 Nya. 34:131Nya 9:17; 2Nya 8:14
2 Nya. 34:142Fa 22:4
2 Nya. 34:142Fa 22:8
2 Nya. 34:14Kum 31:24, 26
2 Nya. 34:14Kum 17:18; 2Nya 35:26
2 Nya. 34:14Law 10:11; 26:46
2 Nya. 34:152Fa 22:10
2 Nya. 34:172Fa 22:5
2 Nya. 34:182Fa 22:8
2 Nya. 34:18Kum 31:24; Yos 1:8
2 Nya. 34:18Kum 17:19; Zb 119:46
2 Nya. 34:19Zb 119:120
2 Nya. 34:202Fa 22:14
2 Nya. 34:202Fa 25:22; Yer 40:14
2 Nya. 34:202Fa 22:9
2 Nya. 34:202Fa 19:2
2 Nya. 34:202Fa 22:12
2 Nya. 34:21Kut 18:15; 1Sa 9:9; 1Fa 22:7
2 Nya. 34:21Yer 42:2
2 Nya. 34:21Kum 31:24; Yos 1:8
2 Nya. 34:21Law 26:16; Kum 28:15
2 Nya. 34:21Kum 30:18; 31:16; 32:15; Ebr 10:31
2 Nya. 34:222Fa 22:14
2 Nya. 34:22Kut 15:20; Amu 4:4; Lu 2:36; Mdo 21:9
2 Nya. 34:222Fa 10:22; Ne 7:72
2 Nya. 34:24Yos 23:16; 2Fa 21:12
2 Nya. 34:24Yer 35:17
2 Nya. 34:24Law 26:16; Kum 28:15; 30:18; Yos 23:13; Da 9:11
2 Nya. 34:242Fa 22:16
2 Nya. 34:25Kum 28:20; 2Nya 24:20
2 Nya. 34:252Fa 23:5; 2Nya 28:3
2 Nya. 34:251Fa 14:9; 2Fa 21:3
2 Nya. 34:252Fa 22:17
2 Nya. 34:25Kum 29:23; 2Nya 34:21
2 Nya. 34:25Yer 4:4; 7:20; Eze 20:48
2 Nya. 34:262Fa 22:18
2 Nya. 34:26Kum 28:15; 2Nya 34:19
2 Nya. 34:27Zb 34:18
2 Nya. 34:272Nya 32:26
2 Nya. 34:272Fa 22:19
2 Nya. 34:272Nya 34:19
2 Nya. 34:272Nya 33:13; Zb 10:17; 86:5
2 Nya. 34:28Zb 37:37
2 Nya. 34:281Fa 21:29; Isa 39:8; 1Pe 5:5
2 Nya. 34:282Fa 22:20
2 Nya. 34:292Fa 23:1
2 Nya. 34:301Fa 6:1; 8:10
2 Nya. 34:302Fa 23:2
2 Nya. 34:302Nya 17:9; Ne 8:3
2 Nya. 34:302Fa 22:10
2 Nya. 34:312Fa 23:3
2 Nya. 34:31Ezr 10:3
2 Nya. 34:31Kum 5:1; 6:1
2 Nya. 34:31Kum 4:45; 1Fa 2:3
2 Nya. 34:31Kum 12:1
2 Nya. 34:31Kum 6:5; 10:12
2 Nya. 34:31Kum 11:13
2 Nya. 34:31Zb 119:106
2 Nya. 34:31Kum 31:24; 2Fa 22:8
2 Nya. 34:322Nya 30:12; 33:16
2 Nya. 34:331Fa 11:5
2 Nya. 34:332Fa 23:5
2 Nya. 34:33Kut 3:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 34:1-33

2 Mambo ya Nyakati

34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka 8+ alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 31 katika Yerusalemu.+ 2 Naye akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova+ na kutembea katika njia za Daudi babu yake;+ naye hakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto.+

3 Na katika mwaka wa nane wa kutawala kwake, alipokuwa angali mvulana,+ akaanza kumtafuta+ Mungu wa Daudi babu yake; na katika mwaka wa kumi na mbili akaanza kutakasa+ Yuda na Yerusalemu kutokana na mahali pa juu+ na miti mitakatifu+ na sanamu za kuchongwa+ na sanamu za kuyeyushwa. 4 Tena wakabomoa mbele yake zile madhabahu+ za Mabaali;+ na vile vinara vya uvumba+ vilivyokuwa juu akavikata kutoka juu yazo; na ile miti mitakatifu+ na sanamu za kuchongwa+ na sanamu za kuyeyushwa akazivunja vipande-vipande na kuzifanya kuwa mavumbi,+ kisha akayanyunyiza juu ya uso wa makaburi ya wale waliokuwa wakizitolea dhabihu.+ 5 Na mifupa+ ya makuhani akaiteketeza juu ya madhabahu zao.+ Kwa hiyo akatakasa Yuda na Yerusalemu.

6 Pia, katika majiji ya Manase+ na Efraimu+ na Simeoni na mpaka Naftali, katika mahali pao palipoharibiwa kuzunguka pande zote, 7 hata alibomoa madhabahu+ na miti mitakatifu,+ na sanamu za kuchongwa+ akaziponda na kuzifanya kuwa mavumbi;+ na vinara vyote vya uvumba+ akavikata katika nchi yote ya Israeli, kisha akarudi Yerusalemu.

8 Na katika mwaka wa kumi na nane+ wa kutawala kwake, alipokuwa ameitakasa nchi na nyumba, akawatuma Shafani+ mwana wa Azalia na Maaseya mkuu wa jiji na Yoa mwana wa Yoahazi karani wakarekebisha+ nyumba ya Yehova Mungu wake. 9 Nao wakamjia Hilkia+ kuhani mkuu na kumpa pesa zilizokuwa zikiletwa katika nyumba ya Mungu, ambazo Walawi watunza-milango+ walikuwa wamekusanya kutoka mkononi mwa Manase+ na Efraimu+ na kutoka kwa wale wengine wa Israeli+ na kutoka kwa Yuda wote na Benyamini na wakaaji wa Yerusalemu. 10 Kisha wakazitia mkononi mwa wafanyakazi waliowekwa juu ya nyumba ya Yehova.+ Nao wafanyakazi waliokuwa wakitenda kazi katika nyumba ya Yehova wakazitumia kutengeneza na kuirekebisha nyumba. 11 Basi wakawapa mafundi na wajenzi+ ili wanunue mawe yaliyochongwa+ na mbao kwa ajili ya vibanio na kujenga kwa boriti zile nyumba ambazo wafalme+ wa Yuda walibomoa.

12 Na watu hao walikuwa wakifanya kazi ile kwa uaminifu;+ na juu yao wakawekwa Yahathi na Obadia, Walawi, kutoka kwa wana wa Merari,+ na Zekaria na Meshulamu, kutoka kwa wana wa Wakohathi,+ wawe waangalizi. Na Walawi, ambao kila mmoja wao alikuwa mjuzi wa vyombo vya nyimbo,+ 13 walikuwa juu ya wabeba-mizigo,+ na waangalizi+ wa wafanyakazi wote kwa ajili ya utumishi mbalimbali; na kutoka kwa Walawi+ kulikuwa na waandishi+ na maofisa na watunza-malango.+

14 Sasa walipokuwa wakitoa pesa+ zilizokuwa zinaletwa katika nyumba ya Yehova, Hilkia+ kuhani akakipata kile kitabu+ cha sheria ya Yehova+ kupitia mkono wa Musa.+ 15 Kwa hiyo Hilkia akamjibu na kumwambia Shafani+ mwandishi: “Nimepata kile kitabu chenyewe cha sheria katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kile kitabu. 16 Kisha Shafani akampelekea mfalme kile kitabu, akaendelea kumjibu mfalme, akisema: “Yote ambayo yametiwa mkononi mwa watumishi wako wanayafanya. 17 Nao wanamimina pesa ambazo zimo ndani ya nyumba ya Yehova na kuzitia katika mkono wa watu waliowekwa na katika mkono wa wale wanaofanya kazi.”+ 18 Na Shafani mwandishi akaendelea kumletea mfalme habari, akisema: “Hilkia kuhani amenipa+ kitabu+ fulani.” Na Shafani akaanza kukisoma mbele ya mfalme.+

19 Na ikawa kwamba mara tu mfalme alipoyasikia maneno ya ile sheria, akayararua mavazi yake mara moja.+ 20 Kisha mfalme akawaamuru Hilkia+ na Ahikamu+ mwana wa Shafani na Abdoni mwana wa Mika na Shafani+ mwandishi+ na Asaya+ mtumishi wa mfalme, akisema: 21 “Nendeni, muulizeni+ Yehova kwa ajili yangu+ na kwa ajili ya mabaki katika Israeli na katika Yuda kuhusu maneno ya kile kitabu+ ambacho kimepatikana, kwa maana ghadhabu ya Yehova ambayo itamwagwa juu yetu ni kubwa+ kwa sababu mababu zetu hawakulishika neno la Yehova kwa kutenda kulingana na yote ambayo yameandikwa katika kitabu hiki.”+

22 Basi Hilkia pamoja na wale ambao mfalme alikuwa amesema wakaenda kwa Hulda+ nabii,+ mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi mtunzaji wa mavazi,+ kwa kuwa alikuwa akikaa Yerusalemu katika eneo la pili; nao wakaanza kusema naye hivyo. 23 Naye akawaambia:

“Yehova Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Mwambieni hivi mtu ambaye amewatuma ninyi kwangu: 24 “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba+ juu ya mahali hapa na wakaaji wake,+ laana+ zote ambazo zimeandikwa katika kile kitabu walichosoma mbele ya mfalme wa Yuda,+ 25 kwa sababu wameniacha+ na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine,+ ili kunitia uchungu+ kwa matendo yote ya mikono yao,+ na ili ghadhabu+ yangu imwagike juu ya mahali hapa wala isizimwe.’”+ 26 Na mfalme wa Yuda, anayewatuma mkamuulize Yehova, mwambieni hivi: “Yehova Mungu wa Israeli, amesema hivi,+ ‘Kuhusu yale maneno+ ambayo umeyasikia, 27 kwa sababu moyo+ wako ulikuwa mwororo hivi kwamba ukajinyenyekeza+ kwa sababu ya Mungu uliposikia maneno yake kuhusu mahali hapa na wakaaji wake, nawe ukajinyenyekeza mbele zangu,+ ukayararua+ mavazi yako na kulia mbele zangu, mimi, naam, mimi nimesikia,+ asema Yehova. 28 Tazama, nitakukusanya wewe kwa mababu zako, nawe hakika utakusanywa kwenye uwanja wa kaburi lako kwa amani,+ na macho yako hayatauona msiba+ wote ninaouleta juu ya mahali hapa na wakaaji wake.’”’”+

Ndipo wakamletea mfalme jibu. 29 Na mfalme akatuma na kukusanya wanaume wazee wote wa Yuda na wa Yerusalemu.+ 30 Sasa mfalme akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova+ akiwa na wanaume wote wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu na makuhani+ na Walawi na watu wote, wakubwa kwa wadogo; naye akaanza kusoma+ masikioni mwao maneno yote ya kile kitabu cha agano, kilichokuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+ 31 Na mfalme akaendelea kusimama mahali pake+ naye akafanya agano+ mbele za Yehova ili kumfuata Yehova na kushika amri+ zake na shuhuda+ zake na masharti+ yake kwa moyo wake wote+ na kwa nafsi yake yote,+ ili kutenda+ yale maneno ya agano yaliyoandikwa katika kitabu hiki.+ 32 Na zaidi ya hayo, akawafanya wale wote waliopatikana katika Yerusalemu na Benyamini wachukue msimamo wao katika hilo. Na wakaaji wa Yerusalemu wakafanya kulingana na agano la Mungu, Mungu wa mababu zao.+ 33 Kisha Yosia akaondoa machukizo+ yote kutoka katika nchi zote za wana wa Israeli,+ naye akawafanya wote waliopatikana katika Israeli wachukue utumishi, wamtumikie Yehova Mungu wao. Siku zake zote hawakugeuka kando wasimfuate Yehova Mungu wa mababu zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki