19 kwa sababu moyo+ wako ulikuwa mwororo hivi kwamba ukajinyenyekeza+ kwa sababu ya Yehova uliposikia yale ambayo nimesema juu ya mahali hapa na wakaaji wake ili pawe kitu cha kushangaza na laana,+ nawe ukayararua+ mavazi yako, ukaanza kulia mbele zangu, mimi, naam, mimi nimesikia,” asema Yehova.+