Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 22:1

Marejeo

  • +1Fa 13:2; 1Nya 3:14; 2Nya 34:1; Yer 1:2; Sef 1:1
  • +Yos 15:39

2 Wafalme 22:2

Marejeo

  • +2Nya 17:3; Eze 18:14
  • +1Fa 3:6; 15:5
  • +Kum 5:32; Yos 1:7; Met 4:27

2 Wafalme 22:3

Marejeo

  • +2Fa 22:9; 2Nya 34:8

2 Wafalme 22:4

Marejeo

  • +1Nya 6:13; 9:11
  • +2Nya 34:9
  • +2Fa 12:4
  • +2Nya 24:8
  • +2Fa 12:9; 1Nya 26:12; 2Nya 8:14

2 Wafalme 22:5

Marejeo

  • +2Fa 12:11
  • +2Nya 34:10

2 Wafalme 22:6

Marejeo

  • +2Nya 24:12; 34:11

2 Wafalme 22:7

Marejeo

  • +2Fa 12:15
  • +2Nya 34:12; Met 20:6; 1Ko 4:2

2 Wafalme 22:8

Marejeo

  • +1Nya 6:13
  • +2Nya 34:8; Yer 41:2
  • +2Fa 22:3
  • +Kum 31:24, 26; 2Nya 34:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, uku. 28

2 Wafalme 22:9

Marejeo

  • +2Nya 34:17

2 Wafalme 22:10

Marejeo

  • +Kum 31:9; 2Nya 34:16; Ne 13:1

2 Wafalme 22:11

Marejeo

  • +Mwa 44:13; 2Sa 1:11; 2Nya 34:19; Yer 36:24; Yoe 2:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2000, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 3/1 30

2 Wafalme 22:12

Marejeo

  • +2Fa 25:22; Yer 26:24
  • +2Nya 34:20

2 Wafalme 22:13

Marejeo

  • +Zb 25:14
  • +Kum 4:24; 29:27; 31:17; Zb 76:7; Ro 4:15
  • +2Nya 29:6; Zb 106:6; Yer 16:12; Da 9:8
  • +2Nya 34:21; Ebr 2:2

2 Wafalme 22:14

Marejeo

  • +Kut 15:20; Amu 4:4; Ne 6:14; Lu 2:36; Mdo 21:9
  • +2Fa 10:22; Ne 7:72
  • +2Nya 34:22

2 Wafalme 22:15

Marejeo

  • +Ayu 34:11; Yer 23:28

2 Wafalme 22:16

Marejeo

  • +2Fa 21:12
  • +2Nya 34:24
  • +Law 26:15; Kum 28:63; Da 9:11
  • +2Fa 22:8

2 Wafalme 22:17

Marejeo

  • +Kut 20:3; Kum 32:17; Amu 2:12; 1Fa 9:6; Zb 106:36; Yer 2:11
  • +Zb 115:4; Isa 2:8; 44:17; Mik 5:13
  • +Kum 32:22; 2Nya 36:16; Isa 33:14; Yer 7:20; 17:27; Eze 20:48

2 Wafalme 22:18

Marejeo

  • +2Nya 34:26

2 Wafalme 22:19

Marejeo

  • +Zb 34:18; 51:17; Isa 57:15
  • +Law 26:40; 1Fa 21:29; Mik 6:8; Yak 4:6
  • +Kum 28:45; Zb 109:17; Yer 26:6
  • +2Fa 22:11
  • +2Nya 34:27

2 Wafalme 22:20

Marejeo

  • +Isa 57:1
  • +2Nya 34:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 591

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2000, uku. 30

    9/15/2000, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 9/15 30; w00 12/15 30

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 22:11Fa 13:2; 1Nya 3:14; 2Nya 34:1; Yer 1:2; Sef 1:1
2 Fal. 22:1Yos 15:39
2 Fal. 22:22Nya 17:3; Eze 18:14
2 Fal. 22:21Fa 3:6; 15:5
2 Fal. 22:2Kum 5:32; Yos 1:7; Met 4:27
2 Fal. 22:32Fa 22:9; 2Nya 34:8
2 Fal. 22:41Nya 6:13; 9:11
2 Fal. 22:42Nya 34:9
2 Fal. 22:42Fa 12:4
2 Fal. 22:42Nya 24:8
2 Fal. 22:42Fa 12:9; 1Nya 26:12; 2Nya 8:14
2 Fal. 22:52Fa 12:11
2 Fal. 22:52Nya 34:10
2 Fal. 22:62Nya 24:12; 34:11
2 Fal. 22:72Fa 12:15
2 Fal. 22:72Nya 34:12; Met 20:6; 1Ko 4:2
2 Fal. 22:81Nya 6:13
2 Fal. 22:82Nya 34:8; Yer 41:2
2 Fal. 22:82Fa 22:3
2 Fal. 22:8Kum 31:24, 26; 2Nya 34:14
2 Fal. 22:92Nya 34:17
2 Fal. 22:10Kum 31:9; 2Nya 34:16; Ne 13:1
2 Fal. 22:11Mwa 44:13; 2Sa 1:11; 2Nya 34:19; Yer 36:24; Yoe 2:13
2 Fal. 22:122Fa 25:22; Yer 26:24
2 Fal. 22:122Nya 34:20
2 Fal. 22:13Zb 25:14
2 Fal. 22:13Kum 4:24; 29:27; 31:17; Zb 76:7; Ro 4:15
2 Fal. 22:132Nya 29:6; Zb 106:6; Yer 16:12; Da 9:8
2 Fal. 22:132Nya 34:21; Ebr 2:2
2 Fal. 22:14Kut 15:20; Amu 4:4; Ne 6:14; Lu 2:36; Mdo 21:9
2 Fal. 22:142Fa 10:22; Ne 7:72
2 Fal. 22:142Nya 34:22
2 Fal. 22:15Ayu 34:11; Yer 23:28
2 Fal. 22:162Fa 21:12
2 Fal. 22:162Nya 34:24
2 Fal. 22:16Law 26:15; Kum 28:63; Da 9:11
2 Fal. 22:162Fa 22:8
2 Fal. 22:17Kut 20:3; Kum 32:17; Amu 2:12; 1Fa 9:6; Zb 106:36; Yer 2:11
2 Fal. 22:17Zb 115:4; Isa 2:8; 44:17; Mik 5:13
2 Fal. 22:17Kum 32:22; 2Nya 36:16; Isa 33:14; Yer 7:20; 17:27; Eze 20:48
2 Fal. 22:182Nya 34:26
2 Fal. 22:19Zb 34:18; 51:17; Isa 57:15
2 Fal. 22:19Law 26:40; 1Fa 21:29; Mik 6:8; Yak 4:6
2 Fal. 22:19Kum 28:45; Zb 109:17; Yer 26:6
2 Fal. 22:192Fa 22:11
2 Fal. 22:192Nya 34:27
2 Fal. 22:20Isa 57:1
2 Fal. 22:202Nya 34:28
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 22:1-20

2 Wafalme

22 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka 8 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 31 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yedida binti ya Adaya kutoka Boskathi.+ 2 Naye akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova+ na kutembea katika njia yote ya Daudi babu yake,+ naye hakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto.+

3 Na ikawa katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yosia kwamba mfalme akamtuma Shafani+ mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu mwandishi kwenye nyumba ya Yehova, akisema: 4 “Nenda kwa Hilkia+ kuhani mkuu,+ naye ajumlishe pesa+ zinazoletwa katika nyumba ya Yehova+ ambazo watunza-milango+ wamekusanya kutoka kwa watu; 5 nao wazitie mkononi mwa wale wanaofanya kazi,+ waliochaguliwa, katika nyumba ya Yehova, ili wawape wale wanaofanya kazi waliomo katika nyumba ya Yehova ili kurekebisha mipasuko ya nyumba,+ 6 mafundi na wajenzi na waashi, na kununua mbao na mawe yaliyochongwa ili kuirekebisha nyumba.+ 7 Isipokuwa tu hesabu isifanywe ya zile pesa zinazotiwa mkononi mwao,+ kwa maana wanafanya kazi kwa uaminifu.”+

8 Baadaye Hilkia+ kuhani mkuu akamwambia Shafani+ mwandishi:+ “Nimepata kile kitabu chenyewe cha sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kile kitabu, naye akaanza kukisoma. 9 Kisha Shafani mwandishi akaingia kwa mfalme, akamjibu mfalme na kusema: “Watumishi wako wamemimina pesa ambazo zilikuwa ndani ya nyumba, nao wanaendelea kuzitia katika mkono wa wale wanaofanya kazi, wale waliochaguliwa, katika nyumba ya Yehova.”+ 10 Na Shafani mwandishi akaendelea kumwambia mfalme, akisema: “Hilkia kuhani amenipa kitabu+ fulani.” Na Shafani akaanza kukisoma mbele ya mfalme.

11 Na ikawa kwamba mara tu mfalme alipoyasikia maneno ya kile kitabu cha ile sheria, akayararua mavazi+ yake mara moja. 12 Kisha mfalme akawaamuru Hilkia kuhani na Ahikamu+ mwana wa Shafani na Akbori mwana wa Mikaya na Shafani mwandishi na Asaya+ mtumishi wa mfalme, akisema: 13 “Nendeni, muulizeni+ Yehova kwa ajili yangu na kwa ajili ya watu na kwa ajili ya Yuda wote kuhusu maneno ya kitabu hiki ambacho kimepatikana; kwa maana ghadhabu ya Yehova+ ni kubwa ambayo imewashwa juu yetu kwa sababu mababu+ zetu hawakuyasikiliza maneno ya kitabu hiki kwa kutenda kulingana na yote ambayo yameandikwa kutuhusu.”+

14 Basi Hilkia kuhani na Ahikamu na Akbori na Shafani na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii,+ mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunzaji wa mavazi,+ kwa kuwa alikuwa akikaa katika Yerusalemu katika eneo la pili; nao wakaanza kusema naye.+ 15 Naye akawaambia: “Yehova, Mungu wa Israeli, amesema hivi,+ ‘Mwambieni hivi mtu ambaye amewatuma ninyi kwangu: 16 “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba+ juu ya mahali hapa na juu ya wakaaji+ wake, naam, maneno+ yote ya kile kitabu ambacho mfalme wa Yuda amesoma;+ 17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+ 18 Na kwa habari ya mfalme wa Yuda anayewatuma mkamuulize Yehova, mwambieni hivi, ‘Yehova, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Kuhusu yale maneno ambayo umeyasikia,+ 19 kwa sababu moyo+ wako ulikuwa mwororo hivi kwamba ukajinyenyekeza+ kwa sababu ya Yehova uliposikia yale ambayo nimesema juu ya mahali hapa na wakaaji wake ili pawe kitu cha kushangaza na laana,+ nawe ukayararua+ mavazi yako, ukaanza kulia mbele zangu, mimi, naam, mimi nimesikia,” asema Yehova.+ 20 “Ndiyo sababu tazama, nitakukusanya+ wewe kwa mababu zako, nawe hakika utakusanywa kwenye uwanja wa kaburi lako kwa amani,+ na macho yako hayatauona msiba wote ninaouleta juu ya mahali hapa.”’” Nao wakamletea mfalme jibu lile.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki