Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana baba zetu wametenda kwa ukosefu wa uaminifu+ nao wametenda mabaya machoni pa Yehova Mungu wetu,+ hivi kwamba walimwacha+ na kugeuza nyuso zao kutoka kwenye maskani ya Yehova+ na kumpa visogo vyao.

  • Zaburi 106:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+

      Tumefanya kosa; tumetenda kwa uovu.+

  • Yeremia 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na ninyi katika matendo yenu mmetenda vibaya zaidi kuliko baba zenu,+ na, tazama, kila mmoja wenu anaufuata ukaidi+ wa moyo wake mbaya kwa kutonitii mimi.+

  • Danieli 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ee Yehova, kwetu sisi kuna aibu ya uso, kwa wafalme wetu, kwa wakuu wetu na kwa mababu zetu, kwa maana tumekutendea dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki