Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 29:1

Marejeo

  • +2Fa 18:1; Isa 1:1; Ho. 1:1; Mt 1:10
  • +2Fa 18:2

2 Mambo ya Nyakati 29:2

Marejeo

  • +2Nya 31:20; Met 10:9
  • +1Fa 3:14; 15:5; 2Fa 18:3

2 Mambo ya Nyakati 29:3

Marejeo

  • +1Fa 6:34; 2Nya 28:24

2 Mambo ya Nyakati 29:4

Marejeo

  • +2Nya 32:6

2 Mambo ya Nyakati 29:5

Marejeo

  • +Kut 19:15; 1Nya 15:12
  • +2Fa 18:4; Eze 8:3

2 Mambo ya Nyakati 29:6

Marejeo

  • +2Nya 28:23; 34:21; Ezr 5:12; Ne 9:16
  • +Yer 44:21
  • +Yer 2:13
  • +Yer 2:27; Eze 8:16

2 Mambo ya Nyakati 29:7

Marejeo

  • +1Fa 6:34
  • +Law 24:2
  • +Kut 30:8; 2Nya 13:11
  • +Kut 29:38; Mal 1:10

2 Mambo ya Nyakati 29:8

Marejeo

  • +Kum 28:15; 2Nya 24:18
  • +Kum 28:25
  • +Law 26:32
  • +1Fa 9:8; Yer 18:16

2 Mambo ya Nyakati 29:9

Marejeo

  • +Law 26:17
  • +2Nya 28:5

2 Mambo ya Nyakati 29:10

Marejeo

  • +2Nya 15:12

2 Mambo ya Nyakati 29:11

Marejeo

  • +Yoh 5:17; 1Ko 15:58
  • +Hes 3:6; 18:2, 6; Kum 10:8; Lu 12:48
  • +1Nya 15:2; 23:13; 2Nya 13:10
  • +Hes 16:40; 18:7

2 Mambo ya Nyakati 29:12

Marejeo

  • +1Nya 23:3
  • +Hes 4:2; 1Nya 15:5; 23:12
  • +1Nya 15:6; 23:21
  • +1Nya 15:7; 23:7

2 Mambo ya Nyakati 29:13

Marejeo

  • +1Nya 15:8
  • +1Nya 15:17; 25:2

2 Mambo ya Nyakati 29:14

Marejeo

  • +1Nya 25:5
  • +1Nya 25:1, 6

2 Mambo ya Nyakati 29:15

Marejeo

  • +2Nya 29:5
  • +2Nya 30:12
  • +1Nya 23:28

2 Mambo ya Nyakati 29:16

Marejeo

  • +1Fa 6:36
  • +2Fa 23:4, 6; 2Nya 15:16; Yoh 18:1

2 Mambo ya Nyakati 29:17

Marejeo

  • +1Fa 6:3; 1Nya 28:11; 2Nya 3:4
  • +Kut 12:2

2 Mambo ya Nyakati 29:18

Marejeo

  • +2Nya 4:1
  • +1Fa 7:40; 2Nya 4:11
  • +1Fa 7:48; 2Nya 4:8; 13:11
  • +1Fa 7:50

2 Mambo ya Nyakati 29:19

Marejeo

  • +2Nya 28:24
  • +2Nya 28:1
  • +2Nya 28:2, 25
  • +2Nya 29:5

2 Mambo ya Nyakati 29:20

Marejeo

  • +2Fa 18:1; Mt 1:10
  • +Kut 24:4; Yos 6:12
  • +1Nya 28:1

2 Mambo ya Nyakati 29:21

Marejeo

  • +1Nya 15:26
  • +Law 4:3, 14; Hes 15:22, 24
  • +Hes 18:1

2 Mambo ya Nyakati 29:22

Marejeo

  • +Law 3:2; 4:4; 8:15
  • +Law 4:7
  • +Law 1:5; 4:18; Ebr 9:21
  • +Law 8:18
  • +Law 8:19

2 Mambo ya Nyakati 29:23

Marejeo

  • +Law 9:15
  • +Law 1:4; 4:15

2 Mambo ya Nyakati 29:24

Marejeo

  • +Law 6:30; Ro 5:10; Ebr 2:17
  • +Da 9:24; Kol 1:20; 1Yo 2:2
  • +Law 4:13

2 Mambo ya Nyakati 29:25

Marejeo

  • +1Nya 9:33; 15:16
  • +1Nya 16:5; 2Nya 5:12
  • +1Fa 10:12; 1Nya 25:1
  • +1Nya 25:6; 2Nya 9:11; Zb 149:3
  • +1Nya 28:13; 2Nya 8:14
  • +2Sa 24:11; 1Nya 29:29
  • +2Sa 7:2; 12:1
  • +2Nya 30:12

2 Mambo ya Nyakati 29:26

Marejeo

  • +1Nya 23:5; Zb 150:3; Isa 38:20
  • +Hes 10:8; 1Nya 15:24; 2Nya 5:12

2 Mambo ya Nyakati 29:27

Marejeo

  • +2Nya 20:21; 23:18

2 Mambo ya Nyakati 29:28

Marejeo

  • +2Nya 7:3
  • +Zb 68:25; 89:15

2 Mambo ya Nyakati 29:29

Marejeo

  • +1Nya 29:20; 2Nya 20:18; Zb 72:11

2 Mambo ya Nyakati 29:30

Marejeo

  • +1Nya 28:1
  • +2Sa 23:1
  • +1Nya 16:7
  • +Zb 32:11; 33:1; 95:1; Flp 4:4
  • +Zb 95:6

2 Mambo ya Nyakati 29:31

Marejeo

  • +Kut 32:29; Law 8:33; 16:32
  • +Law 1:2
  • +Law 7:12
  • +Law 1:3; 23:38

2 Mambo ya Nyakati 29:32

Marejeo

  • +1Fa 3:4; 8:63; 1Nya 29:21

2 Mambo ya Nyakati 29:34

Marejeo

  • +Hes 18:7; 2Nya 30:16
  • +2Nya 30:17
  • +Hes 8:15, 19; 18:2, 6
  • +2Nya 35:11
  • +2Nya 30:3
  • +1Nya 29:17; Zb 7:10; 94:15

2 Mambo ya Nyakati 29:35

Marejeo

  • +Law 1:3; 2Nya 29:32
  • +Kut 29:13; Law 3:15, 16
  • +Law 3:1
  • +Law 23:13; Hes 15:5
  • +1Ko 14:40

2 Mambo ya Nyakati 29:36

Marejeo

  • +2Nya 30:12; Zb 10:17; 136:4
  • +Zb 118:23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 29:12Fa 18:1; Isa 1:1; Ho. 1:1; Mt 1:10
2 Nya. 29:12Fa 18:2
2 Nya. 29:22Nya 31:20; Met 10:9
2 Nya. 29:21Fa 3:14; 15:5; 2Fa 18:3
2 Nya. 29:31Fa 6:34; 2Nya 28:24
2 Nya. 29:42Nya 32:6
2 Nya. 29:5Kut 19:15; 1Nya 15:12
2 Nya. 29:52Fa 18:4; Eze 8:3
2 Nya. 29:62Nya 28:23; 34:21; Ezr 5:12; Ne 9:16
2 Nya. 29:6Yer 44:21
2 Nya. 29:6Yer 2:13
2 Nya. 29:6Yer 2:27; Eze 8:16
2 Nya. 29:71Fa 6:34
2 Nya. 29:7Law 24:2
2 Nya. 29:7Kut 30:8; 2Nya 13:11
2 Nya. 29:7Kut 29:38; Mal 1:10
2 Nya. 29:8Kum 28:15; 2Nya 24:18
2 Nya. 29:8Kum 28:25
2 Nya. 29:8Law 26:32
2 Nya. 29:81Fa 9:8; Yer 18:16
2 Nya. 29:9Law 26:17
2 Nya. 29:92Nya 28:5
2 Nya. 29:102Nya 15:12
2 Nya. 29:11Yoh 5:17; 1Ko 15:58
2 Nya. 29:11Hes 3:6; 18:2, 6; Kum 10:8; Lu 12:48
2 Nya. 29:111Nya 15:2; 23:13; 2Nya 13:10
2 Nya. 29:11Hes 16:40; 18:7
2 Nya. 29:121Nya 23:3
2 Nya. 29:12Hes 4:2; 1Nya 15:5; 23:12
2 Nya. 29:121Nya 15:6; 23:21
2 Nya. 29:121Nya 15:7; 23:7
2 Nya. 29:131Nya 15:8
2 Nya. 29:131Nya 15:17; 25:2
2 Nya. 29:141Nya 25:5
2 Nya. 29:141Nya 25:1, 6
2 Nya. 29:152Nya 29:5
2 Nya. 29:152Nya 30:12
2 Nya. 29:151Nya 23:28
2 Nya. 29:161Fa 6:36
2 Nya. 29:162Fa 23:4, 6; 2Nya 15:16; Yoh 18:1
2 Nya. 29:171Fa 6:3; 1Nya 28:11; 2Nya 3:4
2 Nya. 29:17Kut 12:2
2 Nya. 29:182Nya 4:1
2 Nya. 29:181Fa 7:40; 2Nya 4:11
2 Nya. 29:181Fa 7:48; 2Nya 4:8; 13:11
2 Nya. 29:181Fa 7:50
2 Nya. 29:192Nya 28:24
2 Nya. 29:192Nya 28:1
2 Nya. 29:192Nya 28:2, 25
2 Nya. 29:192Nya 29:5
2 Nya. 29:202Fa 18:1; Mt 1:10
2 Nya. 29:20Kut 24:4; Yos 6:12
2 Nya. 29:201Nya 28:1
2 Nya. 29:211Nya 15:26
2 Nya. 29:21Law 4:3, 14; Hes 15:22, 24
2 Nya. 29:21Hes 18:1
2 Nya. 29:22Law 3:2; 4:4; 8:15
2 Nya. 29:22Law 4:7
2 Nya. 29:22Law 1:5; 4:18; Ebr 9:21
2 Nya. 29:22Law 8:18
2 Nya. 29:22Law 8:19
2 Nya. 29:23Law 9:15
2 Nya. 29:23Law 1:4; 4:15
2 Nya. 29:24Law 6:30; Ro 5:10; Ebr 2:17
2 Nya. 29:24Da 9:24; Kol 1:20; 1Yo 2:2
2 Nya. 29:24Law 4:13
2 Nya. 29:251Nya 9:33; 15:16
2 Nya. 29:251Nya 16:5; 2Nya 5:12
2 Nya. 29:251Fa 10:12; 1Nya 25:1
2 Nya. 29:251Nya 25:6; 2Nya 9:11; Zb 149:3
2 Nya. 29:251Nya 28:13; 2Nya 8:14
2 Nya. 29:252Sa 24:11; 1Nya 29:29
2 Nya. 29:252Sa 7:2; 12:1
2 Nya. 29:252Nya 30:12
2 Nya. 29:261Nya 23:5; Zb 150:3; Isa 38:20
2 Nya. 29:26Hes 10:8; 1Nya 15:24; 2Nya 5:12
2 Nya. 29:272Nya 20:21; 23:18
2 Nya. 29:282Nya 7:3
2 Nya. 29:28Zb 68:25; 89:15
2 Nya. 29:291Nya 29:20; 2Nya 20:18; Zb 72:11
2 Nya. 29:301Nya 28:1
2 Nya. 29:302Sa 23:1
2 Nya. 29:301Nya 16:7
2 Nya. 29:30Zb 32:11; 33:1; 95:1; Flp 4:4
2 Nya. 29:30Zb 95:6
2 Nya. 29:31Kut 32:29; Law 8:33; 16:32
2 Nya. 29:31Law 1:2
2 Nya. 29:31Law 7:12
2 Nya. 29:31Law 1:3; 23:38
2 Nya. 29:321Fa 3:4; 8:63; 1Nya 29:21
2 Nya. 29:34Hes 18:7; 2Nya 30:16
2 Nya. 29:342Nya 30:17
2 Nya. 29:34Hes 8:15, 19; 18:2, 6
2 Nya. 29:342Nya 35:11
2 Nya. 29:342Nya 30:3
2 Nya. 29:341Nya 29:17; Zb 7:10; 94:15
2 Nya. 29:35Law 1:3; 2Nya 29:32
2 Nya. 29:35Kut 29:13; Law 3:15, 16
2 Nya. 29:35Law 3:1
2 Nya. 29:35Law 23:13; Hes 15:5
2 Nya. 29:351Ko 14:40
2 Nya. 29:362Nya 30:12; Zb 10:17; 136:4
2 Nya. 29:36Zb 118:23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 29:1-36

2 Mambo ya Nyakati

29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+ 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Daudi babu yake alikuwa amefanya.+ 3 Yeye mwenyewe, katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, katika mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Yehova na kuanza kuirekebisha.+ 4 Kisha akawaleta makuhani na Walawi na kuwakusanya mahali palipo wazi+ upande wa mashariki. 5 Naye akawaambia: “Nisikilizeni, enyi Walawi. Sasa jitakaseni+ na mwitakase nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zenu, na mwondoe kitu kichafu kutoka mahali patakatifu.+ 6 Kwa maana baba zetu wametenda kwa ukosefu wa uaminifu+ nao wametenda mabaya machoni pa Yehova Mungu wetu,+ hivi kwamba walimwacha+ na kugeuza nyuso zao kutoka kwenye maskani ya Yehova+ na kumpa visogo vyao. 7 Pia walifunga milango+ ya ukumbi na kuzima taa,+ nao hawakufukiza uvumba,+ wala hawakumtolea Mungu wa Israeli dhabihu ya kuteketezwa katika mahali patakatifu.+ 8 Na ghadhabu+ ya Yehova ikaja juu ya Yuda na Yerusalemu, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutetemesha watu,+ kitu cha kushangaza+ na kisababishi cha kupiga mluzi,+ kama vile mnavyoona kwa macho yenu wenyewe. 9 Na tazama, mababu zetu walianguka kwa upanga,+ na wana wetu na binti zetu na wake zetu walikuwa utekwani kwa sababu ya hayo.+ 10 Sasa ninataka moyoni mwangu kufanya agano+ pamoja na Yehova Mungu wa Israeli, ili hasira yake inayowaka igeuke kutoka kwetu. 11 Sasa, wanangu, msijipumzishe,+ kwa maana Yehova amewachagua ninyi msimame mbele zake ili kumhudumia+ na kuwa wahudumu+ wake na kuwa wenye kufukiza moshi wa dhabihu.”+

12 Ndipo Walawi+ wakasimama, Mahathi mwana wa Amasai na Yoeli mwana wa Azaria wa wana wa Wakohathi;+ na kutoka kwa wana wa Merari,+ Kishi mwana wa Abdi na Azaria mwana wa Yehaleleli; na kutoka kwa Wagershoni,+ Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa; 13 na kutoka kwa wana wa Elisafani,+ Shimri na Yeueli; na kutoka kwa wana wa Asafu,+ Zekaria na Matania; 14 na kutoka kwa wana wa Hemani,+ Yehieli na Shimei; na kutoka kwa wana wa Yeduthuni,+ Shemaya na Uzieli. 15 Ndipo wakawakusanya ndugu zao na kujitakasa+ na kuja kulingana na amri ya mfalme kwa maneno+ ya Yehova, ili kuitakasa+ nyumba ya Yehova. 16 Sasa makuhani wakaingia ndani ya nyumba ya Yehova ili kufanya utakaso, nao wakauondoa uchafu wote walioupata katika hekalu la Yehova mpaka kwenye ua+ wa nyumba ya Yehova. Nao Walawi wakauchukua ili waupeleke nje katika bonde la mto la Kidroni+ upande wa nje. 17 Basi wakaanza kutakasa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, na katika siku ya nane ya mwezi huo wakaja katika ukumbi+ wa Yehova; nao wakaitakasa nyumba ya Yehova katika siku nane, na katika siku ya kumi na sita ya mwezi wa kwanza+ wakamaliza.

18 Kisha wakaingia kwa Hezekia mfalme na kusema: “Tumeitakasa nyumba yote ya Yehova, madhabahu+ ya toleo la kuteketezwa na vyombo+ vyake vyote, na meza+ ya mkate wa tabaka na vyombo vyake vyote.+ 19 Nasi tumetayarisha vyombo+ vyote ambavyo Mfalme Ahazi+ aliondoa katika utumishi wakati wa utawala wake katika ukosefu wake wa uaminifu,+ nasi tumevitakasa;+ na tazama, viko mbele ya madhabahu ya Yehova.”

20 Naye Hezekia+ mfalme akaondoka mapema,+ akawakusanya wakuu+ wa jiji, na kupanda kwenda katika nyumba ya Yehova. 21 Nao wakaleta ng’ombe-dume saba+ na kondoo-dume saba na wana-kondoo dume saba na mbuzi-dume saba wawe toleo la dhambi+ kwa ajili ya ufalme na kwa ajili ya patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Basi akawaambia wana wa Haruni, makuhani,+ wawatoe wawe toleo juu ya madhabahu ya Yehova. 22 Kwa hiyo wakawachinja+ wale ng’ombe na makuhani wakapokea damu+ na kuinyunyiza+ juu ya madhabahu; kisha wakawachinja wale kondoo-dume+ na kuinyunyiza damu+ juu ya madhabahu, nao wakawachinja wana-kondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu. 23 Kisha wakawaleta karibu wale mbuzi-dume+ wa toleo la dhambi mbele ya mfalme na kutaniko na kuweka mikono yao juu yao.+ 24 Sasa makuhani wakawachinja na kutoa toleo la dhambi kwa damu yao juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli wote;+ kwa sababu mfalme alisema toleo la kuteketezwa na toleo la dhambi liwe+ kwa ajili ya Israeli+ wote.

25 Wakati huohuo akawaweka Walawi+ katika nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ na vinanda+ na vinubi,+ kulingana na amri ya Daudi+ na ya Gadi+ mwonaji wa mfalme na ya nabii Nathani,+ kwa maana amri hiyo ilikuwa kulingana na mkono wa Yehova kupitia manabii wake.+ 26 Basi Walawi wakaendelea kusimama wakiwa na vyombo+ vya Daudi, na pia makuhani wakiwa na tarumbeta.+

27 Ndipo Hezekia akasema dhabihu ya kuteketezwa itolewe juu ya madhabahu; na wakati lile toleo la kuteketezwa lilipoanza, wimbo+ wa Yehova ukaanza na pia tarumbeta, chini ya mwelekezo wa vyombo vya Daudi mfalme wa Israeli. 28 Na kutaniko lote wakainama+ huku wimbo ukivuma+ na tarumbeta zikipigwa—hayo yote yakaendelea mpaka lile toleo la kuteketezwa lilipomalizika. 29 Na mara tu walipomaliza kulitoa, mfalme na wote waliokuwa pamoja naye wakainama na kusujudu.+ 30 Sasa Hezekia mfalme na wakuu+ wakawaambia Walawi wamsifu Yehova kwa maneno ya Daudi+ na ya Asafu+ yule mwonaji. Kwa hiyo wakaanza kutoa sifa kwa kushangilia,+ wakaendelea kuinama na kusujudu.+

31 Mwishowe Hezekia akajibu na kusema: “Sasa mmeujaza+ mkono wenu nguvu kwa ajili ya Yehova. Karibieni, mlete dhabihu+ na dhabihu za shukrani+ katika nyumba ya Yehova.” Nalo kutaniko likaanza kuleta dhabihu na dhabihu za shukrani, na pia kila mtu aliyekuwa na moyo wa kupenda, akaleta matoleo ya kuteketezwa.+ 32 Na hesabu ya matoleo ya kuteketezwa ambayo kutaniko hilo lilileta ikawa ng’ombe 70, kondoo-dume 100, wana-kondoo dume 200—hao wote wakiwa ni toleo la kuteketezwa kwa Yehova;+ 33 na pia matoleo matakatifu, ng’ombe 600 na wanyama 3,000 kati ya kundi. 34 Ila tu makuhani+ walikuwa wachache mno, nao hawakuweza kuchuna ngozi yale matoleo yote ya kuteketezwa.+ Kwa hiyo ndugu+ zao Walawi wakawasaidia mpaka kazi ilipoisha+ na mpaka makuhani walipokuwa wamejitakasa,+ kwa kuwa Walawi walikuwa wanyoofu+ zaidi wa moyo katika kujitakasa kuliko makuhani. 35 Na, pia, matoleo ya kuteketezwa+ yalikuwa mengi sana pamoja na vipande vya mafuta+ vya dhabihu za ushirika+ pamoja na matoleo ya kinywaji+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa. Hivyo utumishi wa nyumba ya Yehova ukatayarishwa.+ 36 Kwa hiyo Hezekia na watu wote wakashangilia kwa sababu Mungu wa kweli alikuwa amefanya matayarisho kwa ajili ya watu,+ kwa sababu jambo hilo lilikuwa limetokea kwa ghafula.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki