21 Wakaleta ng’ombe dume saba, kondoo dume saba, wanakondoo dume saba, na mbuzi dume saba watolewe kuwa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya ufalme, kwa ajili ya mahali patakatifu, na kwa ajili ya watu wa Yuda.+ Basi akawaambia makuhani, wazao wa Haruni, wawatoe dhabihu kwenye madhabahu ya Yehova.