Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Kuhani aliyetiwa mafuta+ akitenda dhambi+ na kuwaletea watu hatia, basi atamtolea Yehova ng’ombe dume mchanga asiye na kasoro, kuwa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda.+

  • Mambo ya Walawi 4:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Sasa ikiwa kusanyiko lote la Waisraeli lina hatia ya kutenda dhambi bila kukusudia,+ lakini halikujua kwamba limefanya jambo ambalo Yehova aliamuru lisifanywe,+ 14 kisha dhambi hiyo ijulikane, ni lazima kusanyiko litoe ng’ombe dume mchanga kwa ajili ya dhabihu ya dhambi na kumleta mbele ya hema la mkutano.

  • Hesabu 15:22-24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Sasa mkifanya kosa, nanyi mkose kushika amri hizi zote ambazo mimi, Yehova, nimempa Musa, 23 mambo yote ambayo mimi, Yehova, nimewaamuru ninyi kupitia Musa katika vizazi vyenu tangu siku ambayo mimi Yehova niliamuru, 24 na ikiwa kosa hilo lilifanywa bila kukusudia na bila kusanyiko lote kujua, basi ni lazima kusanyiko lote litoe dhabihu ya kuteketezwa ya ng’ombe dume mchanga ili iwe harufu inayompendeza* Yehova, pamoja na toleo lake la nafaka na toleo lake la kinywaji kulingana na utaratibu wa kawaida,+ na pia mwanambuzi mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki