-
2 Mambo ya Nyakati 29:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Kisha Hezekia akasema: “Sasa kwa kuwa mmetengwa kando* kwa ajili ya Yehova, njooni mlete dhabihu mbalimbali na dhabihu za shukrani katika nyumba ya Yehova.” Basi kutaniko likaanza kuleta dhabihu mbalimbali na dhabihu za shukrani, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa kutoa kwa hiari alileta dhabihu za kuteketezwa.+
-