2 Mambo ya Nyakati 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake. Methali 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea salama,+ lakini anayepotoa njia zake atajifanya mwenyewe ajulikane.+
20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake.
9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea salama,+ lakini anayepotoa njia zake atajifanya mwenyewe ajulikane.+