Kumbukumbu la Torati 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Uwe mwangalifu, nawe utii maneno yote haya ambayo ninakuamuru wewe,+ ili mambo yakuendee vema+ wewe na wana wako baada yako mpaka wakati usio na kipimo, kwa sababu utafanya yaliyo mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+ 1 Wathesalonike 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, kuhusu tulivyokuwa washikamanifu na waadilifu na wasiolaumika+ kwenu ninyi waamini.
28 “Uwe mwangalifu, nawe utii maneno yote haya ambayo ninakuamuru wewe,+ ili mambo yakuendee vema+ wewe na wana wako baada yako mpaka wakati usio na kipimo, kwa sababu utafanya yaliyo mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+
10 Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, kuhusu tulivyokuwa washikamanifu na waadilifu na wasiolaumika+ kwenu ninyi waamini.